Moyo mpweke pita hapa upate faraja

Moyo mpweke pita hapa upate faraja

Ishini na hizi wanangu. Ziko kama fote hivi.. Hammers kukosa mbili tatu kila mmoja wenu za kukupa tumaini jipya, nguvu mpya nk
Ni za kizungu tupu😀
FB_IMG_1730159838622.jpg
 
FB_IMG_1730159764386.jpg

Tusihukumiane maisha yana mafundisho mengi, watu hujifunza na kubadilika
 
FB_IMG_1730159753526.jpg

 
Ndio maana huwa napenda kuskusema .. Wapuuzi hupuuzwa ...! Hawajibiwi
FB_IMG_1730159739421.jpg
 
Kwa wale wanaopitia changamoto za kipato na ajira
FB_IMG_1730159701602.jpg
 
Matendo hukidhi haja maridhawa kuliko maneno
FB_IMG_1730159671437.jpg
 
FB_IMG_1730159663696.jpg

Usiumizwe na kupata stress na mtu asiye na shukrani wengine wameumbwa hivyo
 

Attachments

  • FB_IMG_1730159663696.jpg
    FB_IMG_1730159663696.jpg
    38.3 KB · Views: 3
Sio haters wote ni chuki wengine ni mapepo😂
FB_IMG_1730159655249.jpg
 
Mungu yupo na anatenda usikate tamaa mpendwa..
FB_IMG_1730159638116.jpg
 
Usikae kinyonge

Usisononeke. Maisha bado yapo na siku hazigandi. Unayopitia walishayapitia wengine wewe si wa kwanza na wala hutakuwa wa mwisho

Pita hapa uone pia shuhuda za wengine
Changamoto za kipato
Changamoto za ajira
Changamoto za kimaumbile (vibamia nk)
Changamoto za mahusiano (usaliti kuachwa nk)
Changamoto za kifamilia
Changamoto za ndugu
Changamoto kazini nknk
Karibu wewe mpweke na uliye karibu kukata tamaaView attachment 3133609
Baltalization
 
Back
Top Bottom