Moyo Umegoma kumuoa Mwalimu

funguka zaidi...lakini walimu wengi huwa katili sana kwa watoto wa kambo bora manesi. Japo manesi kutokana na kazi yao kuwa na stress sana huwa wanaonekana hawajali familia
 
Imeisha hii,
 
Huyo hakuPendI anakuigizia angekuwa anakupenda asingekulazimisha ndoa kiasi hicho angekupa muda utulie kwanza sasa cheki matokeo yake huo utam usikudanganye ana agenda zake huyo kataaa ndoa mkuuu usije ukalialia baadae


We endelea kumsugua tu kisimi basi
 
Nirushie pande Hilo,
0623332983
 
Malizaneni huko huko.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…