Moyo wa mtu ni kiza kinene.. Tenda wema uende zako

Moyo wa mtu ni kiza kinene.. Tenda wema uende zako

Nimemuelewa, Dogo anataka achukue nafas ta mshua wake huko chamani,upande wa kuimba na kusifu.. mpeni Bhana
Nimemuelewa, Dogo anataka achukue nafas ta mshua wake huko chamani,upande wa kuimba na kusifu.. mpeni Bhana

Suala La yeye Kulia lia kwamba ndugu na jamaa wa Karibu wamewatelekeza Siliungi mkono kbs. Apambane naye kuanzia hapo alipopakuta Alipoacha mzee.

Akumbuke wapo Watoto wengine wengi hawajazaliwa kwenye familia kama yake wala hawana pa Msaada.

Baba kafanya alichoweza, kaandika historia yake kamaliza.Wema alioufanya ni faida yake kwa hatima yake mbele ya Mungu na Atapata thawabu zake.

Nitaunga mkono iwapo anacho kipaji kama cha Baba yake, hapo apewe nafasi huko Chamani..!asibaniwe ana kitu Mkononi mpeni platform.
 
Kibinadamu tunaweza kumuonea Gerard huruma tena sana.. Lakini kiroho kuna kitu kinaitwa KARMA.. Je mafanikio ya baba yake hayakupita kwenye damu za watu wasio na hatia? Tena kwa malaki kama si mamilioni?
Kipindi hicho Kapteni John Komba akiwa kwenye kilele cha mafanikio na TOT BAND kwa ufadhili wa CCM alikuwa ni The untouchable.. Ni katika kipindi hiki aliwaumiza wengi mno kwa kujua ama kutojua

Kupitia kwakwe TOT kikundi cha hamasa na propaganda kilifanya mengi maovu nyuma ya pazia ili ccm ishinde chaguzi mbalimbali
Ni katika kilele cha mafanikio yako ndio shetani hukuvika miwani ya upofu na kusahau kama kuna kesho na kuna uzao utakaouacha ..
 
Back
Top Bottom