Moyo wa mwanaume unapenda mwanamke mmoja tu

Moyo wa mwanaume unapenda mwanamke mmoja tu

Sisi tunawapenda wake zetu sema hawajui tu kule tunapoendaga ni kutokana na kero za wake zetu.Mkitutunzia amani home mbona mtafurahi tutakuwa tunarudi home mapema sana na tamthilia tutakuwa tunafuatilia pamoja
 
Back
Top Bottom