cocastic
JF-Expert Member
- Nov 30, 2019
- 96,456
- 156,324
Kwendraaa 😂😂pole
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwendraaa 😂😂pole
Nusu Albino, acha ukorofii, mxiiiieeewHii ni Uongozi
Wewe mbona umebadili jina ili kujiweka nae karibu😂😂😂semaaaa suuuuAbdulswamadu Zee la Kunyatia.
Aaah wapi.Wewe mbona umebadili jina ili kujiweka nae karibu😂😂😂semaaaa suuuu
Nguvu kutoka juu ilituunganisha,yaani kama utani vile. Mungu atuongoze kuyafanya mapenzi yake kwa muda aliotupa wa kuishi hapa duniani 🙏Habari ndugu zangu,
Kuna watu wapo kwenye mahusiano ya urafik, uchumba, ndoa na wapendwa wao ambao pengine kabla ya kujuana hawakuwahi kuwa na mazoe kabisa na walikuwa wakionana mara Kwa mara pasipokuwa na ukaribu.
Je, Ni kitu gan kilikuvutia kutoka kwake ukajikuta uponae karibu mpaka Leo na ulimuanzaje?
We jamaa😄2025 hii kuna watu bado wanapendana ? Aisee,tumechelewa sana
My love..baby
Nimekuhamu mchumba wangu!My love..
Nipo nimejaa teleNimekuhamu mchumba wangu!
wewe ndo valentine wangu!Nipo nimejaa tele
Hivi bado watu wanasherehekea valentine?wewe ndo valentine wangu!
Unampa michambo kijana mwenzio sioUtakuja kuachwa vibaya wewe mpk komwe likuchemke ulie kwa kugalagala huku ukiuma meno nakutapanya mavazi!, we penda kwa moyo wote uje uachwe kivyotevyote ati love is beautiful thing!, ngoja akubiutifule...🤣
Ile kuvuta skanka, subaru na kusali sana.Habari ndugu zangu,
Kuna watu wapo kwenye mahusiano ya urafik, uchumba, ndoa na wapendwa wao ambao pengine kabla ya kujuana hawakuwahi kuwa na mazoe kabisa na walikuwa wakionana mara Kwa mara pasipokuwa na ukaribu.
Je, Ni kitu gan kilikuvutia kutoka kwake ukajikuta uponae karibu mpaka Leo na ulimuanzaje?