marashi ya pwani
Senior Member
- Sep 30, 2024
- 120
- 132
Wee acha tuKitu gani mkuu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wee acha tuKitu gani mkuu
SawaWee acha tu
Hapo sawa mpenzi😅haya tutasheherekea nanenane!
chizi kweli wewe!!!Hapo sawa mpenzi😅
Mimi sina mkuutupe na kisa chako wakati unasoma mkuu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariiii.Mie mtu akishakuwa tu serious halafu mkali mkali, Hapendi mazoea ya kijinga yaani awe anaogopwa na kila mtu[emoji13][emoji13],.
For the first time naonana nae sijui ndio alishavurugwa toka alikotoka, Alinikaripia vibaya mnooo hadi nililia nadhani alijiskia vibaya ikabidi aanze kunitafuta ili aniombe radhi.... Baasi ikawa jioni ikawa mchana Mwaka sasa...., Na mie tena navyopenda kudeka[emoji1][emoji23][emoji23]
😂[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariiii.