Moyo wako ulivutiwa na nini hasa kutoka kwake?

Mimi huyu mwanamke ni mvumilivu aisee hiki ndio kitu namkubali mwanajeshi wangu.Hakuna narudia tena hakuna mwanamke anaeza kunivumilia mimi hata kwa wiki.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hatariiii.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…