Moyo wangu umeangukia wanawake watatu humu na wote wamenikataa

Moyo wangu umeangukia wanawake watatu humu na wote wamenikataa

Nna miaka 40
nmewafuata wanawake kama watatu inbox na wote wakanitolea nje
Nna kipato cha kati, ni muajiriwa naweza kutunza familia
maokoto yapo

kosa langu ni lipi?
Nafikiri kosa lako ni hili:


utoto


/utɔtɔ/


hali au tabia kama ya mtoto


Halafu ongezea na hili:


limbukeni


/limbukɛni/


mtu anayeanza kutumia au kupata kitu kwa mara ya kwanza


 
Herini ya Easter kwa wale mnaosheherekea

Mimi ni mwanaume ambaye nimekuwa sina bahati tuite hivyo
Nna miaka 40, miaka kama 13 nyuma nliwahi kuwa na mahusiano yaliyozaa watoto wawili wa kike mapacha brianca na bianca,

Bahati mbaya tulitofautiana na mama watoto tukaachana katika process za kupeleka mahari, kumbe alikuwa na jamaa ambaye allikuja kuleta mahari kabla yangu na sikujua na wakati huo ana ujauzito wa watoto wangu,

Basi katika yote kufupishwa hatukuweza kuendelea alifungua aknletea Watt wa miezi sita na yeye kwenda kuolewa ,na hapo nkaapa katukatu staki mke tena,

Lakini wadau nmekaa miaka yote hiyo sikutaka kabisa hadithi za kuoa, ila kwa sasa naona umuhimu wa kuoa nmepona majereha kabisa,
Wanangu nipo nao wanaelewa na mama mzazi,

basi katika hivyo, hapa if nmewafuata wanawake kama watatu inbox na wote wakanitolea nje To yeye Winnone hopeUrassa wanafahamu hili

kosa langu ni lipi? Nna kipato cha kati, ni muajiriwa naweza kutunza familia , nacho hitaji kwa sasa ni mke serious wa kujenga familia

maokoto yapo ila sio uforce , uwe na staha unapoomba ,sihitaji starehe ya Mwanamke kwa muda ,nataka nimmiliki,,,
ASANTENI
Mara nyingine ukikataliwa siyo kwamba wewe ndo mwenye tatizo, mara nyingi upande wa pili ndiyo kuna tatizo na anakukataa kwa nia njema.

Assume umemtongoza mwanamke aliye ishi na HIV, mwanamke mwenye watoto 3 kila mmoja na baba ake, mwanamke mwenye magonjwa ya kurithi, mwanamke mlevi na teja e.t.c

Ukikataliwa shukuru na kimbia, siyo lazima upewe sababu ya kukataliwa. Acha unalialia kama mtoto mdogo. Wanawake wapo wengi, endelea kutongoza utafanikiwa.
 
Herini ya Easter kwa wale mnaosheherekea

Mimi ni mwanaume ambaye nimekuwa sina bahati tuite hivyo
Nna miaka 40, miaka kama 13 nyuma nliwahi kuwa na mahusiano yaliyozaa watoto wawili wa kike mapacha brianca na bianca,

Bahati mbaya tulitofautiana na mama watoto tukaachana katika process za kupeleka mahari, kumbe alikuwa na jamaa ambaye allikuja kuleta mahari kabla yangu na sikujua na wakati huo ana ujauzito wa watoto wangu,

Basi katika yote kufupishwa hatukuweza kuendelea alifungua aknletea Watt wa miezi sita na yeye kwenda kuolewa ,na hapo nkaapa katukatu staki mke tena,

Lakini wadau nmekaa miaka yote hiyo sikutaka kabisa hadithi za kuoa, ila kwa sasa naona umuhimu wa kuoa nmepona majereha kabisa,
Wanangu nipo nao wanaelewa na mama mzazi,

basi katika hivyo, hapa if nmewafuata wanawake kama watatu inbox na wote wakanitolea nje To yeye Winnone hopeUrassa wanafahamu hili

kosa langu ni lipi? Nna kipato cha kati, ni muajiriwa naweza kutunza familia , nacho hitaji kwa sasa ni mke serious wa kujenga familia

maokoto yapo ila sio uforce , uwe na staha unapoomba ,sihitaji starehe ya Mwanamke kwa muda ,nataka nimmiliki,,,
ASANTENI
Mtaani kwako hamna mbususu? Dadek uta endelea kupiga nyeto mpaka uende upande
 
Kwanza ni mshukuru Mama kwa wewe kuwa na miaka 40!
Pili nikwambie tuu itakuwa huna hela hakuna cha kipato cha kati ni kujidanganya!
Hao ulishawaona wapi? Halafu unawezaje kujitangaza unawataka wanawake watatu na wote umewatongoza? Hivi ungekuwa wewe ungekubali?
 
images.jpeg


PambanaZaidi/CottonandMore
 
U
Mara nyingine ukikataliwa siyo kwamba wewe ndo mwenye tatizo, mara nyingi upande wa pili ndiyo kuna tatizo na anakukataa kwa nia njema.

Assume umemtongoza mwanamke aliye ishi na HIV, mwanamke mwenye watoto 3 kila mmoja na baba ake, mwanamke mwenye magonjwa ya kurithi, mwanamke mlevi na teja e.t.c

Ukikataliwa shukuru na kimbia, siyo lazima upewe sababu ya kukataliwa. Acha unalialia kama mtoto mdogo. Wanawake wapo wengi, endelea kutongoza utafanikiwa.
Ushauri wa maana
 
Back
Top Bottom