Moyo wangu 'umemdondokea' huyu dreva wa Bodaboda

Moyo wangu 'umemdondokea' huyu dreva wa Bodaboda

hhahahah, Baba la Kinyamwezi, linanitesa moyo wangu hakika, hahahahahaha
Dada sasa kuna haja ya kufanya mipango uondoke huko kwa wasukuma urudi huku kaskazini angalau hata arusha amabapo ni karibu na nyumbani, maana sasa wanitia shaka mimi kaka yako, kipindi kile Ulikoswa koswa kulambwa na yule mvuta bangi ambae sasa kawa mzee wa kanisa tukasema ni bahati mbaya tu, sasa huyu mtu wa boda boda nae. Alafu hayo mambo ya kupakia mi bodaboda ya nini? si utafute hata ka vits tu? Ina bidi hili tutadili kwa mapana na marefu.
 
Mwambie aukote huo moyo akurudishie jaman [emoji23][emoji23][emoji23]mtunuku zawadi yoyote nzuri
 
Moyo jamani moyo!!!

Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.

Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.

Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.

Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.

Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.

MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
Mtumie kukut***ba tu, maana anao wengine anawapakiaga kama wewe.
 
Moyo jamani moyo!!!

Mwenzenu nimetokea kumpenda Dreva wa Bodaboda hadi najisikia akili inadundadunda.
N mwanamme mpole, ana kamzuzu kwa mbali, mweusi, mnene kiasi, mrefu, akicheka ana kamwanya fulani hivi, jaman jamani mie yaani natamani kila mara nimuone tu japo kwa mbali.

Nimefanya upelelezi wangu, ni miongoni mwa wale watumishi waliopata dhahama ya vyeti feki.

Na yeye ananipenda ila hajawa direct. Jamani moyo huuu.

Nimewaza zawadi ya kumpa ili kuonesha nampenda ila bado sijafikia maamuzi sahihi. Nawaza nikamnunulie yale makoti yao mazito kama manne hivi, au nimnunulie boxer, au nimnunulie kadi.

Hebu nishaurini nimnunulie nini mimi huyu ndugu anayeutesa moyo wangu kama ishara ya kumuonesha kuwa nimekufa na kuoza hadi kunuka juu yake.

MBITIYAZA msaada mwenzio niko hoi kwa bodaboda
Unapenda sana ndito za saa 12 jioni!!!
 
Mwambie kwanza kama limoyo limemdondokea sasa hivi kama mtu unayempenda hatoi ushirikiano mtongoze mwenyewe
hahahahaahhhaahha, ushauri mzuri sana huu shost hahahahahahahahahah
 
Back
Top Bottom