Moyo wangu 'umemdondokea' huyu dreva wa Bodaboda

Njoo uninulilie mm hvyo vitendea kazi nitakuwa nakuletea hesabu kila wiki bila kukosa...

Utapata faida,nakuhakikishia hutokaa ujutie,kama nikamzuzu na mm pia ninako utakuwa unakaona kila nikikuletea hesabu...
 
Njoo inbobo tuyajenge
 
Boxer unayomaanisha hapo ni pikipiki au ile nguo ya ndani?
 
NAHUJA njoo kwanza pm !tuma namba yake na picha@!'nisaminishe"!tafadhari sana sana !naomba niwe mshengaaa!maana kwa vigezo hvyo asalaaale!

fanya hima!
NB.KKW
 
Eeenh mtongoze shost mambo ya kusubiri kutongozwa haya yashapitwa na wakati mwisho wa siku utakuta mdada kamganda huku unabaki kufyonza na kutukana kwa hasira
πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…