Moyo wangu unaugua kwa ajili ya raia wa Afghanistan

Watanzania ni wanafiki sana. Unasahau kwamba kwako kunaungua ila unaenda kuokoa kwa jirani. Tanzania kuna majanga makubwa sana ila unakimbilia kuongelea ya wenzanko.
 
Kwangu m imi binadamu anayeonewa ni wa thamani kuliko mahala wala kitu chochote. Wewe je?
Ujinga mtupu google uangalie waswahili waliomo kisiwa cha Andaman waitwao jarawa wanavyotenzwa na wabaguzi hao.
 
Ujinga mtupu google uangalie waswahili waliomo kisiwa cha Andaman waitwao jarawa wanavyotenzwa na wabaguzi hao.
Kwa hiyo wewe unafurahia hao wanavyobaguliwa na kuteshwa ukiwa mwerevu? Kweli uhuha ni adui wa maendeleo.
 
Amina, hope Mungu wetu ni msikivu sana na atatenda na sasa anatenda.
 
Hivi wewe punguani unataka nini? Leave me alone mwendawazimu wewe!. Ungelikuwa na akli japo kidogo usingekuwa pumba kiasi hiki.
Umeanza kuchemka mbona sijakufikisha mie nikufate nakujua? Inawezekana ima wewe gaidi au gabacholi. Pole sana nungunungu
 
Acha unafiki ww, hukuugua walipouwawa Raia wa Iraq, Libya, Palestine na viongozi wa upinzani Tanzania unakuja kuugua leo ???
 
Waarabu ni matahira hayana tofauti na Waafrika yanatumika kama toilet paper,mbona kuna Nchi nyingi za ulaya zina resources nyingi lakini hazina vikundi vya ugaidi.
Mnalazimisha watu wawe na imani potofu wasipofata mnawaripua, maji yakishawafika shingoni mnaaza upuuzi wa kulalamika, watu wapo kwenye nchi zao acheni upuuzi
 
Ndio ujue kuwa uongo haudumu
 
Saudi Arabia, UAE, Qatar, Oman, Kuwait na Bahrain wanapiga kimyaa Kama haiwahusu vile.
Nchi zote hizi hazina uwezo wa kupeleka jeshi kule kwa sababu zimeruhusu nchi za ulaya na marekani kuweka military base kwenye nchi zao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…