Moyo wangu unaungua, Akili inaharibika, Mwili unakonda, Mapenzi yanatesa sana

Moyo wangu unaungua, Akili inaharibika, Mwili unakonda, Mapenzi yanatesa sana

Pole sana dada, Mungu akutie Nguvu na ujasiri wa kuyashinda. Akuongoze vyema. Hakika, jaribu lako ni zito.

Mie nashauri acha kumtafuta huyo mumeo, usimdai talaka labda kama unataka kuolewa na mwingine. Kwa Sasa usimdai talaka, subir mtoto azaliwe. Sali sana na Muombe Mungu muweza wa yote. Atakusimamia na kukuongoza vyema.

Simama imara, jikaze Dunia ni mapito.
Ahsante sana ndugu yangu,
Ushauri wa kutokudai talaka nimeupokea, nitasubiri hadi nione hatma
 
Ulipoacha maombi tu ndipo shetani akakupiga vyovyote vile utakavyomkuta mwenza wako usikwazike elewa hio ni michezo ya kitoto ya shetani.
Kama u Mkristo sugua goti km u Muislamu cheza na Dua center.
Yatakwisha majaribu huja kutufunza atakaa sawa atakuwa baba Bora utoshangaa,ukikaa na kinyongo hata huyo mtoto utamchukia pili ni baraka kuzaa na mtu mmoja Bora Hilo Hilo goma lako upambane kuliweka sawa kuliko
Sawa kaka, ushauri wako nimeupokea, namuombea sana dua, naimani tutarudi kua family yenye upendo kama mwanzo
 
Stress wakati wa ujauzito sio nzuri Kwa afyayako na ya mwanao
Inaumiza kweli lakini kumbuka Mungu hawezi kukupa jaribu usiloliweza utavuka
Shika sana Sala hasa za usiku omba Kwa Imani Hilo litapita na utakuwa sawa
Amiiin dada,
Mola atanivusha [emoji120]
 
Ahsante sana, kwa sasa namuombea sana hasa kesi yake iishe, bado nina asilimia chache atarudi labda nikijifungua na akiiona damu yake
Hongera mamy inaonyesha jinsi ulivyo na mapenzi ya dhati lakini ninakusihi usiendelee kumuwazia mtu ambaye roho yake imeshajiondoa kwako.Jitahidi kuanza ku move on bila huyo jamaa maana hana msaada tena kwako.
 
Yaan watu wameshazoea kudanganywa danganywa tu, na kwenye mahusiano yao hivyo hivyo uongo uongo tu
Wanajua kila kitu ni uongo sababu wenyewe ni waongo, na hayo mahusiano yao ya uongo. Walete zao za ukweli basi
 
Back
Top Bottom