Ahsante sana ndugu yangu,Pole sana dada, Mungu akutie Nguvu na ujasiri wa kuyashinda. Akuongoze vyema. Hakika, jaribu lako ni zito.
Mie nashauri acha kumtafuta huyo mumeo, usimdai talaka labda kama unataka kuolewa na mwingine. Kwa Sasa usimdai talaka, subir mtoto azaliwe. Sali sana na Muombe Mungu muweza wa yote. Atakusimamia na kukuongoza vyema.
Simama imara, jikaze Dunia ni mapito.
Mmmh sijui, siwezi kujiapiza sana,Mapenzi hayaishi fashion Lagertha utakuhja kupenda tena japo sio sasa.
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa kaka, ushauri wako nimeupokea, namuombea sana dua, naimani tutarudi kua family yenye upendo kama mwanzoUlipoacha maombi tu ndipo shetani akakupiga vyovyote vile utakavyomkuta mwenza wako usikwazike elewa hio ni michezo ya kitoto ya shetani.
Kama u Mkristo sugua goti km u Muislamu cheza na Dua center.
Yatakwisha majaribu huja kutufunza atakaa sawa atakuwa baba Bora utoshangaa,ukikaa na kinyongo hata huyo mtoto utamchukia pili ni baraka kuzaa na mtu mmoja Bora Hilo Hilo goma lako upambane kuliweka sawa kuliko
Amiiin dada,Stress wakati wa ujauzito sio nzuri Kwa afyayako na ya mwanao
Inaumiza kweli lakini kumbuka Mungu hawezi kukupa jaribu usiloliweza utavuka
Shika sana Sala hasa za usiku omba Kwa Imani Hilo litapita na utakuwa sawa
Ilazimishe tu akili yako kuchukulia tu poa ili usiumieSawa kaka, ushauri wako nimeupokea, namuombea sana dua, naimani tutarudi kua family yenye upendo kama mwanzo
Na mie natamani turudiane sitaki kulea mtoto peke yangu,Sikia mleta mada! Hayo ni mapito na mkiambiwa wengine hamsikii. Leo unalamika. Utakuza mtoto!end of story, akija mtarudiana...
Jipange ludi mjini ukapambane.
Mi nikuombee tu moyo wa uvumilivu.Na mie natamani turudiane sitaki kulea mtoto peke yangu,
Nipo Dar es salaam kwa wazazi wangu.
Ukikua utaachaNingepata mtu kama wewe unayejua kupenda hata nisingehangaika.
Walipima na wakatianaTatizo lilianza ulipoacha kumuombea...anyway hujatueleza mimba uliipataje wakati uligoma kumpa papuchi mpaka mpime
Hongera mamy inaonyesha jinsi ulivyo na mapenzi ya dhati lakini ninakusihi usiendelee kumuwazia mtu ambaye roho yake imeshajiondoa kwako.Jitahidi kuanza ku move on bila huyo jamaa maana hana msaada tena kwako.Ahsante sana, kwa sasa namuombea sana hasa kesi yake iishe, bado nina asilimia chache atarudi labda nikijifungua na akiiona damu yake
Oyeeeeeeeee 😂Mama Wema oyeeeeeeeee kajua kutunyooshea mtu hadi ameahidi hafanyi tena birthday [emoji23][emoji23][emoji23][emoji119]
Wanajua kila kitu ni uongo sababu wenyewe ni waongo, na hayo mahusiano yao ya uongo. Walete zao za ukweli basiYaan watu wameshazoea kudanganywa danganywa tu, na kwenye mahusiano yao hivyo hivyo uongo uongo tu
Hilo ndio la muhimu sana kwasasa kujifungua salama. Tutakuombea pia kwa dhati ya mioyo yetuMmmh sijui, siwezi kujiapiza sana,
Nikijifungua salama mapenzi yote yatakua kwa mtoto
Naongelea pale kunakokuwa na ndoa takatifuKwanini hayo maombi msijiombee nyie Kama nyie ili mpate hayo MAFANIKIO na ukwasi?.
Basi tuombeane katika ndoa yetu mambo yakae sawa Kuna utulivu kulinda uaminifu ili kuepusha majuto.Naongelea pale kunakokuwa na ndoa takatifu
Amina Mungu akusaidie mkuu wewe na mwenza wako muombeaneBasi tuombeane katika ndoa yetu mambo yakae sawa Kuna utulivu kulinda uaminifu ili kuepusha majuto.