Moyo wangu unaungua, Akili inaharibika, Mwili unakonda, Mapenzi yanatesa sana

Usemacho ni kweli japokua hua siamini kwenye ushirikina ila naamini tulizikosa baraka za Mungu wetu kwa kujiweka mbali nae.
[emoji24][emoji120]
Ushirikina ni imani na unaaminika na dini zoote isipokuwa binaadamu tuu ndu huwa haamini sana japo anauogopa na wanaojua huwa wanauficha ukweli maana ni vita.
Kwenye jamii zetu ukipata maendeleo unapigwa vita kuanzia na ndugu, jamii na marafiki
 
Tutafute Jamaa aje abalance hii story..
Lakin wale wanaofunga ndoa mmoja anaishi mwanza mwingine Dodoma Hilo ni janga hakuna ndoa hapo
 
Mapenzj yana tesa sana
Ila yote na yote kikubwa ni kukubali na kuanza upya
 
Pole na wewe ndugu yangu, napata moyo na mie nitayavuka haya na maisha yangu yatarudi kama kawaida,
Amiin [emoji120]
Nakuja PM tuwe close ndugu yangu, nothing last forever kikubwa usiache kufanya kitu ambacho kinakupa furaha, Kama kuzama JF kusoma mada Cheka furahi
When the door of happiness closes another opens but we look so long at the closed do then we don't see the one which has been open for us
 
Karibu kwangu hata mimi mke kanizingua jimbo lipo wazi.
 
kwenye miti hakuna wajenzi...laiti kama mimi mwizukulu mgikuru ningempata mwanamke kama wewe, ningemshukuru allah saba mara sabini, mungu hawezi kukupa vyote
 
Pole sana la msingi kubali kuwa upo katika changamoto, unafuu ulionao kwenu wanakufariji, niliwahi pitia ugumu kiaina km huu umenifanya niwakumbuke wote walionifuta machozi hebu niwasalimie kwanza maana dah bila wao huenda ningejitia kitanzi,
 
Kila mtu na abebe msalaba wake,Kwa maana imeandikwa Kila mtu litamfika,it's the matter of time.
 
Huu ni upande wako upande wake pia unaweza kuwa na story tofauti ila changamoto za maisha pambaneni
 
Pole sana,mwamini Mungu,muombe Mungu atakuvusha iko cku atarudi.
 
Tuassume alikuwa analipwa 1m kwa mwezi kitu ambacho ni impossible. kwa miezi 6 = 1m × 6 ~ 6m. Hivi kuna kiwanja cha 6m kweli, icho ni kiwanja ama kichanja

Mwambieni atafute hela aache kuota mapenzi. Yaani usingizi wake ni wa kuwaza kuumizwa umizwa tu ilihali mume mwenyewe hana

Tuweni siriazi basi, mshahara wa 1m wapi na wapi hapa bongo. Labda kama ni daktari wa moyo ambae kashindwa kuitibu moyo wake dhidi ya janga la mapenzi

Eti malupulupu, lupu lupu!!!?
Bado hajasema. Story yake imefanyiwa editing sana
 
Wewe kweli kichwa box, hebu rudi kasome tena kwa utulivu amekwambia alivyofika huo mkoa aligundua mume wake anapesa nyingi na hagusi mshahara wake, alivyomuuliza akasema anapiga madeal akamwambia aache mwanaume akamjia juu,

Na ndio sababu ya huyo mumewe kusimamishwa kazi kisa kupiga madeal,

Wewe unakuja na ujuaji wako wa kishamba kumbe hata story hujaisoma na kuielewa, halafu ulivyoshangaa watu kulipwa milioni 1 (japo hakusema mshahara wa mumewe) ndio nimezidi kukuona kapuku uliyekosa dira, daaah!
 
Unauliza kama kuna kiwanja cha milioni 6!!!
Hahaha hebu fanya mpango uhame hapo kwa mjomba ako ukajitegemee kwanza, wewe hata bei ya dawa ya meno huijui.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…