Moyo wangu unaungua, Akili inaharibika, Mwili unakonda, Mapenzi yanatesa sana

Pole sana kikubwa anza kubeti yani kamari ni kama utani lakin wallahi hutakaa umfkrie kiumbe mwngne pia zngatia lishe na kusali mengn yapo tuh
Kamari ni kharamu kwa imani yangu,
Shukrani lakini
 
ulikimbilia mapenzi ushadondokea púa pole sana tenapolee

wenzako wanasoma wajiajili au waajiliwe wewe unawaomba wazazi helamkapange ghetto namsela mbanduane

haya Sasa kikowapi?ulicho kimbilia?kikowapiiii👋
 
@Maxence Melo nashauri tu mkuu tuanzishe shindano kama ilivyo stories of change tunaweza kuwapata waandishi wazuri wa story za mapenzi au hata waandika script wazuri wa muvi
NAWASILISHA

Usisahau kunipa kitengo endapo shindano litaanzishwa

Skudu06
Wewe lile group lako la halua halua linakutosha mkuu,huku hukuwezi[emoji2]
 
Uliingia kwenye uhusiano na mvulana
 
Omba sana yasikukute Mwanamke mwenzangu, bora usome hivi hivi kwa wenzio na kuona ni uzushi kuliko yakukute
Tukio lako limeniumiza sana lakini hii comment imeniumiza zaidi, imebeba hisia nzito sana naimani hata muhusika imemgusa,

Pole sana Mama Kijacho, kama hutojali nicheki PM tunaweza kuongea mengi utakua sawa tu usijali, tutunzie huyo mtu mzito ajaye.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…