SSEKK The Literally
JF-Expert Member
- Sep 5, 2023
- 1,134
- 1,905
Ooh my!! Mm sjaoa na kuna mtoto ananisumbua akil jmn sjui ht km ananpenda yn
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha uongoNingepata mtu kama wewe unayejua kupenda hata nisingehangaika.
Mimi ni graduate wa heartbreak degree course with distinctions😊😊,siku hizi moyo wangu una kazi 1 tu ya kusukuma damu.Utateseka sana na mapenzi.
Shwaini!
Mapenzi hayaishi fashion Lagertha utakuhja kupenda tena japo sio sasa.Nashukuru sana, siwezi kupenda tena
Ushauri mbovu huuHuyo tupa kule tafuta maisha yako kwanza jitegemee na mtoto ajae, lakini next time usikubali kuanza maisha na wanaume maskini ndugu yangu 😁😁
Wakipata tu huwa wanageuka washenziiii hakuna rangi utaacha kuona
Pengine wewe unaweza kua ni mjukuu wangu.Are you married?
Ungesikia na story za upande wa pili unaweza kukuta huyu dada ni mtu wa dharau kwa mme wake, nyodo na viburi, ila hapa hawezi kusema kabisa. Some time wanawake ndio inakuwa chanzo cha mwanaume kuwa hivyo ila hapa hawezi kusema. Anyway kama yote uliyosema ni sahihi basi mwanaume ndio shida ila mi naamini angekuja hapa nae aseme ukweli mambo yangegeukaDaah hata mimi nimeumia sana....pole sana ni vipindi tu katika safari ndefu ya maisha.
Mtu sahihi unamjuaje? Au ndio umeamua kuja kutolea machungu yako hapa?acheni mpate mnachostaili maana mkipendwa na watu sahihi mnawakataa matokeo yake mnaangukia mikononi mwa mmbwa mwitu komaa achakulia lia .pole lakini
Sasa yeye sio mzungu jamaniTatizo lilianza pale mumeo alipoenda huo mkoa x akaanza issue ya michepuko,ulifanya makosa kumsamehe,ungeachana nae wala haya yasingekufika,ndio maana wazungu ukimcheat tu na ndoa inaishia hapo.
Hawa mbwa (kasoro baba angu) wote motoni.
Na huyo tajiri KATAFUTA NA NANI mpaka aje akuoe wewe maskini?Huyo tupa kule tafuta maisha yako kwanza jitegemee na mtoto ajae, lakini next time usikubali kuanza maisha na wanaume maskini ndugu yangu 😁😁
Wakipata tu huwa wanageuka washenziiii hakuna rangi utaacha kuona
Huo ni upande mmoja kwanza. Bado na yeye angekua kwenye nafasi ya huyo jamaa afu jamaa akae kwenye nafasi ya huyo mwanamke. IgeuzeNingepata mtu kama wewe unayejua kupenda hata nisingehangaika.