Moyo wangu unaungua, Akili inaharibika, Mwili unakonda, Mapenzi yanatesa sana

Na alipoharibu ni pale alipoanza kuongelea habari za kununua viwanja na kujenga misauzi ndani ya wiki mbili tokea kuanza kazi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hii ndoa sio ya kikristo
 
Na alipoharibu ni pale alipoanza kuongelea habari za kununua viwanja na kujenga misauzi ndani ya wiki mbili tokea kuanza kazi
We nae hebu tutolee kichaa chako, umeona uzi wa mwenzio ndio wa kutolea nyongo, pambana na hali yako usitafute kiki kwa wengine,

Amesema pesa ilitumwa baada ya miezi sita wakanunua kiwanja na kuanza ujenzi, kinachokuuma nini sasa, na wewe tafuta hela ufanye maendeleo chap.
 
Nimesoma yootee......
Mlipoanza kufika kilele cha mafanikio mkaachana na Mungu akaelekeza nguvu zenu huyu kwenye starehe yule akaacha kumuombea mwenzake aache pombe na wanawake
Unajua mahusiano na ndoa nyingi zinavunjwa kwa uchawi na ushirikina wa watu wa karibu.
Walina mmeanza kufanikiwa wakaona wawatenganishe tuu
 
Tusiwe na maneno negative na hii story, inaweza kumpa depression ndugu yetu. Tuchukuliwe katoa tu hali ya dunia, tunaweza rudia siku moja hii thread.
Sometimes the best way is to talk it out na kusikia watu wanasemaje.
Dada yangu pole pole pole sana pole tena. Ila niseme,
DONOT EVER GIVE UP ON YOURSELF.

Watu watakusema, Watu watakufanyia mabaya, ila kamwe hutakiwi jifanyia wala kujiwazia mabaya.
You have to go on with your Life. Haya ndio maisha. Usijutie, umedondoka inuka jipukute.
Wenzio wengi tu waliachwa na watoto inauma ila nakuomba Tuliza moyo. Utawaza sana mapenzi yanaumaaa saaana. Ila tafadhari. Embu jikaze. Jione wewe ni mzuri kuliko wote sisi au yeye anaokutana nao. MUNGU AKULINDE NDUGU YANGU
 
Lagertha pole sana dada yangu.
Maisha ya mwanadamu na pengine kiumbe yeyote hamna njia iliyo nyoofu ya moja kwa moja, kuna kupanda na kushuka kwingi.
Unachopitia muda huu ni moja wapo ya mlima wa kupanda,sio muda utaumaliza na kukutana na njia nyoofu, mbele kidogo utakutana tena na mteremko ,bonde, mlima ,kona nk.
Yote hii ni kawaida ya maisha.

Unachopitia kwa sasa kuna wengine wamepitia tena kubwa kuliko hilo lako lakini walivuka na kwa sasa wapo sehemu ya kusema asante Mungu .

Hivyo nawe kesho utasema asante Mungu, kwa sababu nyakati hazidumu iwe nyakati ngumu ama nyepesi.

Kwa sasa binafsi naona usizingatie kabisa kilicho tokea japo ngumu lakini ukijaribu utaweza, mzingatie mtoto mtarajiwa, muwekee malengo na nia njema, muandalie mazingira rafiki yanayo leta furaha.

Naamini hatutashindwa kabisa kujihudumia wakati wa kujifungua na uzazi, kwa sababu kuna ndugu upande wako hawatakuacha moja kwa moja.

Puuzia kabisa lililotokea, puuzia kabisa huyu baba , zingatia mambo mengine kabisa, toa hisia za maumivu , ikiwezekana liwaze sana hilo tukio, ukiweza lia machozi kabisa, ukimaliza kulia futa machozi nawa uso maji , jipake mafuta , lala kidogo , ukiamka liwe limefutika iwe mwanzo mpya wa amani.

Nimesikitika pamoja nawe, pole sana , yote ya yote maisha yanaendelea hivyo usijali sana .
 
[emoji851][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]
 
🤣🤣🤣 umechamba kwa sound ya mama wema. Safi sana
 
Pole sana dada,Mungu atakusaidia,na maumivu hayo yatafikia ukomo wake,pia mshukuru Mungu huenda kakuepusha na jambo kubwa ambalo lingegharimu hata maisha yako.Huwa kila jambo hutokea kwa sababu,endelea kuomba Dua Mungu atakusimamia[emoji120]
 
Naona hapo unatumia I'd ya Lagartha nafhani ni yule character was series wa Viking, hivyo basi pambana kama yule Dada alivyopambana.Life is full of shit lisipotokea kwako litatatokea kwa yule but yote is part of the game.
 
Ningepata mtu kama wewe unayejua kupenda hata nisingehangaika.
mkuu hata ukpata wa style hii huwezi jua kua ndiye..watu wa style hii wana drama zsoisha usmchukulie kama alivyoeleza hapa,amini usiamini ana tabia ambazo usingeweza kuvumilia bila nguvu ya mungu..
but mtu sahihi ni ngumu kumjua had pale utakapompoteza.!
 
Kuna mengi nahis umetuficha umeruhusu tujue front end ila back end umeficha!

Tuliza akili kula vzr pumzika lea mimba yako vzr kbs naamini mungu atakusaidia utajifungua salama, mtunzs mwanao mpaka miezi sita plus, then rudi kwenye drawboard pambana kwa maelezo yako una back up nzuri ya familia angalia cha kufanya
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…