Tulia Ackson nampenda ila ubunge hasipeweWivu Roho Mbaya Chuki Uroho &Uphumbhafu ndivo vinavokusumbua pole Sana
Yaani sijawahi kuona mtu ana roho mbaya kiasi hiki duh amepiliza hutuNi kawaida kabisa kutompenda kila mtu, lakini huwezi kuwa Hatima ya maisha yake! Na usipoangalia unaweza kufa masikini Sana mkuu Kwa liroho la hovyo namna hiyo
Sawa Sasa Wewe unataka apewe Nani?Tulia Ackson nampenda ila ubunge hasipewe
Mtu sahihi. Sawa Sasa Wewe unataka apewe Nani?
Ni nani? Huyo mtu sahihi unayemsemea wewe ni Nani?Mtu sahihi
. Sasa Nani atawatatulizia shida zao Wewe home kwenu babako akiumwa huna jukumu lolote? Huwezi kutatua matatizo ya home kwenu?Kumvua MTU ubunge akiwa kitandani anauguliza majeraha ni umbeya !!
Tulia atashindwa , huyo sugu anataka kurudi bungeni amalizie kulipa mkopo wa mil 700 alichukua kujenga hotel desderia, nyie mnajua anataka kuwasaidia. Tulia atawasaidia vizuri kwakuwa yupo karibu na Mkuu
Ni mtu sahihini Nani? Huyo mtu sahihi unayemsemea wewe ni Nani?
Labda tu huelewi Mambo yanavoendaga bongo hii, sio ujinga , sugu awepo asiwepo Hana impactYupo karibu na mkuu gani na kivipi? Yaani Mbunge ili afanye kazi yake inabidi awe karibu na mkuu? Acheni huu ujinga.
Basi mweke mzazi wako au ndugu yako au rafiki jamaa zako ufurahi na Moyo wakoNi mtu sahihi
Dada yangu Tulia Ackson hafai kuwa mwakilishi wa wananchi,
Tulia ni mtu wa kutanguliza maslahi yake na ya chama chake kwanza , hivyo hafai kwenye hiyo nafasi.