Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo sasa ndipo ma-strategist wa Tulia Ackson wanapokosea. Kitendo cha kumshika Sugu kinamuongezea Sugu kujubalikaWameshaanza figisu figisu kumtengenezea mazingira ya ushindi kwa kuanza kumdhibiti Sugu.Mchana huu wamemkamata Sugu alipokuwa akienda kuchukua fomu za mgombea.
Wewe mpigie kura tulia, sawa ?.[emoji3][emoji3][emoji3] We jitoe ufahamu ila utajickia aibu
Hakuna mbunge anayesaidia watu wewe Lumumba. Mbunge ni mwakilishi tu. Kazi yake ni kusikiliza na kubeba changamoto na nahitaji ya wanajimbo na kuyasemea serikalini.Tulia atawasaidia vizuri kwakuwa yupo karibu na Mkuu
Ndiyo Mbunge wa Mbeya Mjini pole sana!Habari wakuu,
Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.
Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.
Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.
Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.
Nitafurahi sana akining'inizwa October.
Unataka kuniambia Uspika atausikia kwenye bomba?
Kizuia watu wasikusanyike unaingilia uhuru wa watu. Watu hukusanyika kwa sababu mbalimbali na sio kosa duniani. Huu ujinga wa kudhani kuna sheria inayozuia ndio maana unatumika kwa wapinzani kisiasa tu ila tunakusanyika madisko, minadani, masokoni na kwenye starehe.Hivi ni kweli Sugu ameshikiliwa kwa maandamano ya kuchukua fomu? Hivi lazima uandamane kuchukua fomu? Mambo mengine haya kama ni kweli ni kuichokoza tu serikali.
asubiri viti maalumuAnashinda mapema sana
Tulia atashindwa , huyo sugu anataka kurudi bungeni amalizie kulipa mkopo wa mil 700 alichukua kujenga hotel desderia, nyie mnajua anataka kuwasaidia. Tulia atawasaidia vizuri kwakuwa yupo karibu na Mkuu
Dua la kuku........?Habari wakuu,
Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.
Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.
Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.
Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.
Nitafurahi sana akining'inizwa October.
Huo ndio wema uliovuka mipaka wa kujisifia nao!!Kumvua MTU ubunge akiwa kitandani anauguliza majeraha ni umbeya !!
SuguSawa Sasa Wewe unataka apewe Nani?
Habari wakuu,
Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.
Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.
Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.
Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.
Nitafurahi sana akining'inizwa October.
Habari wakuu,
Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.
Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.
Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.
Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.
Nitafurahi sana akining'inizwa October.
Tulia atashindwa , huyo sugu anataka kurudi bungeni amalizie kulipa mkopo wa mil 700 alichukua kujenga hotel desderia, nyie mnajua anataka kuwasaidia. Tulia atawasaidia vizuri kwakuwa yupo karibu na Mkuu