Uchaguzi 2020 Moyo wangu utafurahi sana huyu Mwanamama akishindwa Oktoba

Uchaguzi 2020 Moyo wangu utafurahi sana huyu Mwanamama akishindwa Oktoba

Ni mtu sahihi

Dada yangu Tulia Ackson hafai kuwa mwakilishi wa wananchi,

Tulia ni mtu wa kutanguliza maslahi yake na ya chama chake kwanza , hivyo hafai kwenye hiyo nafasi.

Sidhani kama kuna chama au taasisi itakayo msajiri mwanachama ambaye hayupo tayari kusimamia maslahi ya chama/taasisi yake/chake!!

Ugly Reality!
 
Kama atapata kura za haki za ushindi mwache ashinde

Ila kama atazurumu za wengne basi mwombee mabaya

Huwezi kumchukia mtu kisa ana mafanikio ambayo wewe huna kwa wakat huo

Ila tu mkumbushe atende haki kwa wakati huo
 
Habari wakuu,

Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.

Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.

Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.

Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.

Nitafurahi sana akining'inizwa October.
Labda atangazwe kwa nguvu kwa kupindua meza lkn ushindi wa kweli, haki na uwazi hawezi kushinda Mbeya.
 
Wameshaanza figisu figisu kumtengenezea mazingira ya ushindi kwa kuanza kumdhibiti Sugu.Mchana huu wamemkamata Sugu alipokuwa akienda kuchukua fomu za mgombea.
 
Hivi ni kweli Sugu ameshikiliwa kwa maandamano ya kuchukua fomu? Hivi lazima uandamane kuchukua fomu? Mambo mengine haya kama ni kweli ni kuichokoza tu serikali.
Na form zake wamesitorosha katika mazingira ya kutatanisha baada ya kumkamata
 
Habari wakuu,

Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.

Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.

Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.

Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.

Nitafurahi sana akining'inizwa October.
Msiye mtaka kaja, mtatafutana hadi pakufichia nyuso zenu mtakosa kwa aibu, ni mama tulia kipenzi cha wanambeya ni chaguo la wanyonge
 
Habari wakuu,

Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.

Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.

Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.

Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.

Nitafurahi sana akining'inizwa October.
Aisee kwa serikali hii afe kipa afe beki lazima wataweka mpira kwapani huyu mama apite
 
Hana mvuto huyo...asije kuwaponza Tume ya uchaguzi bure!!
 
Tulia atashindwa , huyo sugu anataka kurudi bungeni amalizie kulipa mkopo wa mil 700 alichukua kujenga hotel desderia, nyie mnajua anataka kuwasaidia. Tulia atawasaidia vizuri kwakuwa yupo karibu na Mkuu
Eti yuko karibu na mkuu. This is very foolish.

Wanasema watanzania ni moja ya jamii zenye IQ ndogo sana duniani. Here is a proof of it.
 
Sidhani kama kuna chama au taasisi itakayo msajiri mwanachama ambaye hayupo tayari kusimamia maslahi ya chama/taasisi yake/chake!!

Ugly Reality!
At the same time wanatakiwa wahakikishe mtu anauzika kwa wapiga kura or else wampitishe kwa mtutu wa bastola
 
Habari wakuu,

Siku ni njema na mambo sio mazuri kwa kiasi chake.

Kwakweli nitafurahi sana huyu mwanamama wa Mbeya akishindwa uchaguzi huu wa October, hana mvuto wa kisiasa kabisa, binafsi simpendi na namuombea mabaya.

Hivi virushwa anavyotoa kwa akina mama mpaka amefungua ofisi njia panda, mara vitamasha na ligi uchwara ni kutafuta tu malisho mazuri zaidi, hakuna lolote.

Niliumia sana mwaka 2019 alipopewa nafasi ya kuwasemea wana Mbeya akati yeye sio mbunge wa eneo husika, na mbaya zaidi mbunge husukia alikuwepo.

Nitafurahi sana akining'inizwa October.
ya ngoswe mwachie ngoswe
 
Back
Top Bottom