Uchaguzi 2020 Moyo wangu utafurahi sana huyu Mwanamama akishindwa Oktoba

Uchaguzi 2020 Moyo wangu utafurahi sana huyu Mwanamama akishindwa Oktoba

Kana jibebisha kwenye ki ligi uchwara chake pale Uyole Kati kwa kwenda kujichezesha netball yaani mvuto ni 0

NB: Huyu betina anajisumbua tu na hawa JamiiForum kila nikiweka uzi wa huyu cheusi dawa wanafuta sijui melo nae ana maslahi nae
 
Tulia atashindwa , huyo sugu anataka kurudi bungeni amalizie kulipa mkopo wa mil 700 alichukua kujenga hotel desderia, nyie mnajua anataka kuwasaidia. Tulia atawasaidia vizuri kwakuwa yupo karibu na Mkuu

Kwani hawezi kusaidia mpaka awe mbunge?

Mimi nina lengo la kutia nia 2030. Lakini nishaanza kusaidia tokea 2015 jimboni kwangu.
 
Kama Mbowe alianguka mwenyewe kwa ulevi wake alafu akatangaza amepigwa na wasiojulikana ili apate kiki ,hata hizo ofisi zimechomwa na Chadema ili wapate kiki vizuri.


Hi thread ya kumi ukpaste huu upuuzi wako tuu. Nakuangalia ulivyo zezeta. Wewe huna tofauti na bashite ambaye anatafuta mashoga huku Dar ilihali yeye ndio shoga mashuhuri mpaka tako likajibinua kwenda juu
 
Hivi ni kweli Sugu ameshikiliwa kwa maandamano ya kuchukua fomu? Hivi lazima uandamane kuchukua fomu? Mambo mengine haya kama ni kweli ni kuichokoza tu serikali.
 
Yupo karibu na mkuu gani na kivipi? Yaani Mbunge ili afanye kazi yake inabidi awe karibu na mkuu? Acheni huu ujinga.

Ni ukweli husio pingika kwamba kweli ni “Ujinga” ila pia wakati mwingine kubadiri mtazamo(perception) juu ya namna ya kutatua tatizo/matatizo sio “Ujinga” ni “Ujanja “.

Wote mpo sahihi!
 
Back
Top Bottom