Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
Inatia uchungu sana.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siku Ile ya kusaini HJA pale Dodoma, ukiiangalia video Ile,Akijuelewa atarudisha bandari atauza air port. Mambo mdundo
Bandari tulikua tunaendesha wenyewe tukakosa uaminifu wizi , rushwa na ukwepaji kodi ulikua mkubwa sana.hivi sasa mambo hayo hakuna .bandari ilikua ni kichaka cha wapigaji. Mama samia kafanya vizuri sana kuibinafsisha.Mara nyingi serikali ya CCM imekuwa ikituibia vingi kwa siri, ila hapa kwa DPW serikali ya Samia imetumia akili ndogo sana kutudanganya.
Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
Unadhani dp ni Mwarabu?! ๐ผBandari tulikua tunaendesha wenyewe tukakosa uaminifu wizi , rushwa na ukwepaji kodi ulikua mkubwa sana.hivi sasa mambo hayo hakuna .bandari ilikua ni kichaka cha wapigaji. Mama samia kafanya vizuri sana kuibinafsisha.
Wewe ni mmoja wao. Umeshindwa kuiteta nchi yakoWatetezi ni Kitenge & co ๐ผ
Nchi gani? ๐ผWewe ni mmoja wao. Umeshindwa kuiteta nchi yako
Gharama ya kuinunua au kuvunja nkataba itakuwa ni kumlipa huyo DP mara tatu ta mapato yake Kwa miaka 30 inayokujaMara nyingi serikali ya CCM imekuwa ikituibia vingi kwa siri, ila hapa kwa DPW serikali ya Samia imetumia akili ndogo sana kutudanganya.
Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
IPTLGharama ya kuinunua au kuvunja nkataba itakuwa ni kumlipa huyo DP mara tatu ta mapato yake Kwa miaka 30 inayokuja
Msingi wa kusema ni batili ni nini.Na hatutalipa hata mia mbovu,
Maana mkataba ni Fake na BATILI.
Hapakuwa na kura ya maoni ya wazi Ili kuamua jambo Hilo ambalo halimo kwenye Katiba ya CCM, halijaruhusiwa na Katiba na halimo kwenye Ilani ya chama.Msingi wa kusema ni batili ni nini.
ungeweka wazi kwanza kwenye hili unapata shilingi ngap ๐Tayari DP World wameshachukua udhibiti wa bandari ambayo ni urithi wetu kutoka kwa Mungu.
1. Mpaka sasa Rais hajaweka wazi Tanzania itapata Tsh. ngapi kwa mwezi kupitia mapato ya bandari ambayo kuanzia sasa yatakusanywa na DP World kama taarifa ya TPA niliyoambatanisha hapa inavyoeleza.
2. Kwamba hapo awali mapato yetu pale bandarini yalikuwa wazi ila kwa sasa yatakuwa siri kati ya DP World na Samia.
3. Pamoja na uboreshaji wa bandari hizo kupitia pesa zetu na mkopo kutoka WB bado Samia na serikali yake hawajaweka wazi kwamba hao DP World wamewekeza kiasi gani zaidi ya kuja kuvuna shamba ambalo tumelilima kwa jasho na damu kwa ajili ya watoto wa Tanganyika na Tanzania.
4. Mpaka sasa Samia na serikali yake wamekataa kuweka wazi mikataba ya kukabidhi bandari hizo kwa waarabu wa DP World. Tunaambiwa ni uwekezaji lakini hatuoneshwi mikataba hiyo ili tuipitie tuone kama uwekezaji huo una faida au hasara.
Samia anapaswa kupingwa na kila mtu mwenye akili timamu na mzalendo wa taifa hili. Sisi hatuna nchi nyingine isipokuwa hii Tanganyika aliyotupa Mungu. Sasa kama Samia atakuwa anaendelea kuingia mikataba ya siri na mibovu ya kuuza rasilimali nitakuwa tayari kwa lolote kulinda rasilimali na ardhi ya nchi yetu.
Mungu bariki Tanganyika.
Mungu bariki Zanzibar.
Mungu bariki Tanzania.
Mdude Mpaluka Nyagali 7 x 70 Sumu ya Nyigu.View attachment 2959439
Hata yakifika bei hiyo hawataamka, kuna laana fulani kama si uchawi unawafanya wawe makondoo , yaani kiongozi wanamchagua wao halafu wanamtukuza hata aboronge vipi.Watanzania ni wajinga hadi mafuta yawe na bei ya shilingi 3000000 ndio tuamke
Kwa ushauri wa kisheria na ni vizuri utafute wataalamu wa Sheria , kama msingi wa Madai yako upo Sawa au upo nje ya reli.Hapakuwa na kura ya maoni ya wazi Ili kuamua jambo Hilo ambalo halimo kwenye Katiba ya CCM, halijaruhusiwa na Katiba na halimo kwenye Ilani ya chama.
Bandari ni jambo la Muungano, unaweza kunambia kwanini IGA haihusishi bandari za Zanzibar?
Uchaguzi wa 2025 tutaona Mengi.
Tusubiri.
Nasemaje,Kwa ushauri wa kisheria na ni vizuri utafute wataalamu wa Sheria , kama msingi wa Madai yako upo Sawa au upo nje ya reli.