๐— ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐——๐—ฃW ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ฎ ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ผ ๐—ป๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ wao

Mara nyingi serikali ya CCM imekuwa ikituibia vingi kwa siri, ila hapa kwa DPW serikali ya Samia imetumia akili ndogo sana kutudanganya.

Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
Bandari tulikua tunaendesha wenyewe tukakosa uaminifu wizi , rushwa na ukwepaji kodi ulikua mkubwa sana.hivi sasa mambo hayo hakuna .bandari ilikua ni kichaka cha wapigaji. Mama samia kafanya vizuri sana kuibinafsisha.
 
Ngoja nisubscribe, hizi nyuzi za jamii forums mbeleni huwa zinaibuka tu kukumbushia kuwa watu walisema na kujua nani alikuwa sahihi na nani alikosea.
 
Mara nyingi serikali ya CCM imekuwa ikituibia vingi kwa siri, ila hapa kwa DPW serikali ya Samia imetumia akili ndogo sana kutudanganya.

Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
Gharama ya kuinunua au kuvunja nkataba itakuwa ni kumlipa huyo DP mara tatu ta mapato yake Kwa miaka 30 inayokuja
 
Msingi wa kusema ni batili ni nini.
Hapakuwa na kura ya maoni ya wazi Ili kuamua jambo Hilo ambalo halimo kwenye Katiba ya CCM, halijaruhusiwa na Katiba na halimo kwenye Ilani ya chama.

Bandari ni jambo la Muungano, unaweza kunambia kwanini IGA haihusishi bandari za Zanzibar?

Uchaguzi wa 2025 tutaona Mengi.

Tusubiri.
 
ungeweka wazi kwanza kwenye hili unapata shilingi ngap ๐Ÿ’

angalau kwenye mengine inafahamika unakopwa ๐Ÿ’

By the way Eid Mubarak ๐ŸŒน
 
Kwa ushauri wa kisheria na ni vizuri utafute wataalamu wa Sheria , kama msingi wa Madai yako upo Sawa au upo nje ya reli.
 
Kwa ushauri wa kisheria na ni vizuri utafute wataalamu wa Sheria , kama msingi wa Madai yako upo Sawa au upo nje ya reli.
Nasemaje,

Ubatili huu utakomeshwa tu,

Na HAKIKA tutawafukuza hao maharamia.

Kesi Iko mahakamani na mahakamani ilikiri IGA ni BATILI.

Hatimaye tutashinda.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ