๐— ๐—ฝ๐—ฎ๐—ธ๐—ฎ ๐——๐—ฃW ๐˜„๐—ฎ๐—ป๐—ฎ๐—ฐ๐—ต๐˜‚๐—ธ๐˜‚๐—ฎ ๐˜‚๐—ฑ๐—ต๐—ถ๐—ฏ๐—ถ๐˜๐—ถ ๐˜„๐—ฎ ๐—ฏ๐—ฎ๐—ป๐—ฑ๐—ฎ๐—ฟ๐—ถ ๐˜‡๐—ฒ๐˜๐˜‚ ๐—บ๐—ฎ๐—ฝ๐—ฎ๐˜๐—ผ ๐—ป๐—ถ ๐˜€๐—ถ๐—ฟ๐—ถ ๐—ธ๐—ฎ๐˜๐—ถ ๐˜†๐—ฎ ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ป๐—ฎ wao

Sumu ya nyigu si lolote iwapo sumu ya nyuki ni tiba.
 
Watanzania ni wajinga hadi mafuta yawe na bei ya shilingi 3000000 ndio tuamke
Kuamka kwenda wapi. Ni nchi gani duniani ambako bidhaa zake zinateremka kila kuchao. Acha ubwabwajaji. Wengine tumeamka labda wewe ndo umelala unaburuzwa na wanasiasa uchwara. Amka.
 
Mara nyingi serikali ya CCM imekuwa ikituibia vingi kwa siri, ila hapa kwa DPW serikali ya Samia imetumia akili ndogo sana kutudanganya.

Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
Paragraph ya kwanza, jibu lake ni goli la Aziz ki dhidi ya mamelod.
Paragraph ya pili, jibu lake ni magufuli the second au magufuli wa pili ambae sijui atakuja karne ya ngapi.
 
Bandari tulikua tunaendesha wenyewe tukakosa uaminifu wizi , rushwa na ukwepaji kodi ulikua mkubwa sana.hivi sasa mambo hayo hakuna .bandari ilikua ni kichaka cha wapigaji. Mama samia kafanya vizuri sana kuibinafsisha.
Angalau tulijua kuwa tulikuwa tunaibiwa, kulikuwa na option moja mbele, kufanya juu chini kukomesha huo wizi na uzembe, niliuliza hivi, ukiwa baba wa familia, na miongoni mwa watoto wako wakawa wanakuibia hapo nyumbani au shambani utatafuta baba mwingine aje kuisimamia familia yako? Au utatumia nguvu zako za ubaba kuhakikisha kuwa wizi unakoma? Ukishindwa hapo ubaba wako utakuwa na mushkeri.
 
hivi wewe huo uongo wako utakufikisha wapi?
 
Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
Kutoka CCM? zaidi atairudisha kwenye mikono ya mafisadi wa CCM waitafune hiyo pesa. Mimi naunga mkono bandari kupewa mwekezaji kama mkataba ukiwa rafiki ila sio kuwaachia hao TPA ambao kwa mwaka wa 15 sasa kila ripoti ya CAG inaonyesha wizi wa kutisha. Private sector huwezi iba utafukuzwa tu au kuleta delays ili uhongwe utaondolewa maana ni business oriented.

Mjadala uwe mkataba rafiki sio kuirudisha TPA ni yaleyale tu
 
Hii Nchi inahitaji mtu mwenye quality ya uzalendo kama Nyerere na dikiteta kama Magufuli.
Mie kinachoniumiza roho,ni kuwa jamaa wamewekeza kiasi cha Shs .Trillion 1 sawa na mapato ya saaa ya TPA kwa Mwaka.
Afrika ni zaidi ya undondocha
.
 
Kinachosikitisha zaidi watanzania hao hao utawakuta wakitandika nguo zao wagombea wapite bila kupingwa
 
In short do not waste your time to fight for Tanzanians
 
Wawekezaji nchi hii ni wengi.

Je ni wawekezaji gani mapato tunayopata yapo wazi?

Mkataba gani wa uwekezaji ulishawahi kuwekwa wazi?

Sikubalian na usiri wa mikataba au mapato Ila tuweke rekodi Sawa
 
Mara nyingi serikali ya CCM imekuwa ikituibia vingi kwa siri, ila hapa kwa DPW serikali ya Samia imetumia akili ndogo sana kutudanganya.

Naamini iko siku atakuja Rais anayejielewa airudishe bandari yetu mikononi mwetu.
Serikali ikishawaibia hupeleka wapi ilivyoviiba!?
 
NJIA ZA JANJA JANJA ZINAANZA KUFUNGWA RASMI, MAMBO YAMEANZA KUWEKWA HADHARANI NA KWENYE MSTARI MNYOOFU.
Naingiza mzigo, kodi yake ni kiasi hichi, nalipa natoa mzigo, wale wa ohhoo ngoja, mtu wa kusaini hayupo, sijui yupo likizo, inabidi tumtafute yule atusaidie lakini inabidi tu mpooze kwa laki 5, ujinga huu unakwenda kwisha,
THANKS YOU MAMA SAMIA, THE WAY HUPENDI LONGO LONGO NA RUSHWA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ