Mpaka leo kuna watu hawamiliki magari? Huo si uchizi?

Mpaka leo kuna watu hawamiliki magari? Huo si uchizi?

Yaani inakera hivi kweli mtu mpaka leo Hamiliki magari au Gari? Kwa miaka hii magari yalivyo bei rahisi yaani milioni mbili tu mtu unapata ndinga kali? Halafu la kinyama kinoma yaani kutomili Gari miaka hii huo ni ukora na uchizi kupitiliza.

Yaani mimi sihangaiki kupiga stories na mtu ambaye hamiliki nikuona wewe humility Gari nakufukuza mimi kampani yangu ni ya watu wanaomiliki magari.

Kama haumiliki Gari jiangalie mara mbili mbili we unaweza kuwa chizi au akili zako haziko vizuri! Badilika miliki ndinga kali na miliki mtoto mkali bikes.

This thread posted by someone who drive Mark X, Jeep, and many many cars.

Gari ni full cash ila nyumba utaunga unga
 
Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.

Ndugu Mwana mzizima , alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu za ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.

tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni.

Naambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital
View attachment 2476239
Naona unawapa matango pori mashoga na machizi wenzako wa jamii forum
 
Yaani inakera hivi kweli mtu mpaka leo Hamiliki magari au Gari? Kwa miaka hii magari yalivyo bei rahisi yaani milioni mbili tu mtu unapata ndinga kali? Halafu la kinyama kinoma yaani kutomili Gari miaka hii huo ni ukora na uchizi kupitiliza.

Yaani mimi sihangaiki kupiga stories na mtu ambaye hamiliki nikuona wewe humility Gari nakufukuza mimi kampani yangu ni ya watu wanaomiliki magari.

Kama haumiliki Gari jiangalie mara mbili mbili we unaweza kuwa chizi au akili zako haziko vizuri! Badilika miliki ndinga kali na miliki mtoto mkali bikes.

This thread posted by someone who drive Mark X, Jeep, and many many cars.
Huo uchizi umekuanza lini.
 
Huu mwaka wetu juzi umetutukania wazazi wetu kua hawakuwekeza, jana ukatusema wapangaji na leo umeona umalize kwa sisi watembea kwa miguu.
 
Acha kumficha uyo fisi kwa mgongo wa kutumia gari,,,,mali zenu za ndagu ndo zilivyo.
 
Tunaomba radhi kwa wale wote watakaokwazika mwandishi ni mmoja wa wagonjwa wetu katika hospital ya crazy for life.

Ndugu Mwana mzizima , alifanikiwa kutoroka jana na kuiba simu za ofisi na Sasa anaropoka hovyo tu.

tunashukuru kwa ushirikiano wenu na tunaahidi tutalishughulikia swala hili hivyo mvumilieni.

Naambatanisha ushahidi wa vyeti alivyovipata kutoka hospital
View attachment 2476239
🤣🤣
 
"Kwa miaka hii magari yalivyo bei rahisi yaani milioni mbili tu mtu unapata ndinga kali"

🤣🤣🤣🤣
 

Mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga?
 
Back
Top Bottom