Mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga?

Mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga?

Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.

Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.

This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Kijana! Usiwasimange vijana wenzio.Hujui mapito wanayopitia ni ya namna gani. Wewe unatakiwa tu umshukuru Mungu aliyekujalia wazazi na hatimaye ukaishi kama ulivyotutajia.
Kwamba wazazi wao alichemka hilo acha kabisa ndg. zingatia na kumbuka vijana wengine labda hawawajui wazazi wao, wengine wazazi wao walishatangulia mbele za haki wakati wao wakiwa ni wadogo au wengine wazazi hawakuwa na uwezo hata kama walitamani sana kuwafanyia watoto wao kama wewe wazazi wako walivyokufanyia.
Ili kurudisha fadhila kwa Mungu, hebu jiwekee ka-tabia ka kuwahurumia na kuwasaidia vijana wenzio japo kidogo kulegeza vyuma vilivyokaza.
 
Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.

Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.

This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Haya wahi wali maharage kabla haujaisha hapo kwa mama ntilie
 
Mkuu umeamua kuja kuchekesha watu siyo.. uzuri wa JF wote matajiri.
 
Japo hukutumia njia au lugha nzuri kufikisha ujumbe, ujumbe wako bado una mantiki. Ni vyema wazazi kupambana kuwajengea future nzuri watoto kwa kuwatafutia rasilimali kama viwanja au hata kama mfuko unaruhusu, kuwajengea ili watoto wanapoanza maisha, wasianzie kwenye sifuri.
 
Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.

Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.

This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Tunakusamehe bure. Kuna vichaa vya aina nyingi hicho ulicho nacho ni kichaa pia!! Huwapata watu ambao hawakuwa na ndoto ya mafanikio halafu wakajikuta wamepata kitu kidogo!! Pole!!
 
Wote tukijenga nani ataitwa mpangaji??
Wenye nyumba wanaotegemea nyumba zao kama njia ya kipato wataishije??Acha tusidiane maisha.
 
Back
Top Bottom