Mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga?

Mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga?

Ukwel ukizipata na hujajitambua huwa ni mtihani sana,,
Kuna kipindi nilikuwa angalau nipo vizuri,kila nlipokuwa nikinunua kitu/bidhaa na kubakiza chenji hasa coin nafanya kuitupia mezani.ilifika hatua meza ikawa imetapakaa sliva za kutosha.hii nilfanya maksudi eti kuwachengua mademu!

kuna muda nilikuwa nimetulia nkawa najisemea moyon kwamba hivi kweli kuna watu wanakosa 1000 ya vocha?

Leo nimechalala siyo nakosa hata jero la vocha,bali hata mia tatu ya kununulia umeme mpaka nimshtue mwana!
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
JamiiForums634242635.jpg
 
Kila mtu atajengewa kashimo kake,ila tauche utani ukiwa na kamjengo kako unyama sana ,jichangeni mjenge ata polis post
 
Hujafa hujaumbika... Nani ajuaye ya kesho? Kuna watu katika umri mdogo kabisa walikuwa baba wenye nyumba lakini leo hii hata kodi ya chumba kimoja ni changamoto! HUJAFA HUJAUMBIKA..!
Upo sahihi mshana kuna mwamba mmoja alizotea akajenga jumba safi,.usafiri safi mbwebwe kibao kila sikukuu anakuja wana sasa akuamgalia umri wake na jinsi alivyoipata pesa yake

Akaanza dharau kwa jamaa na marafiki leo hii anayejua ni mungu nyumba hana gari hana mke hana
 
Wape mbinu za kujenga nyumba zao na sio kuwachamba, hizo ni tabia za kike, au we mwanamke

Wakati mwingine ufikirie kabla ya kuandika
 
Watanzania tuko nearly milioni 61, ukichukua average ya watu 6 kwa kaya ina maana tuna kaya zaidi ya milioni 10, kwa hiyo unataka tuwe na nyumba milioni 10?
 
Back
Top Bottom