Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mshukuru Mungu usiwadharau wengine kwasababu wewe unacho.Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi nyumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Busara imetumika. Nakupongeza!Mshukuru Mungu mkuu mi hata niwe na maisha mazuri au ya chini.
Nimejifunza siwezi kumdharau mtu maana haya maisha aisee ni hatari ndugu hayo maneno yako yatunze uyangoje mpaka uzeeni.
Kausha. Amehamia kwake jana japo hajamalizia madirisha wala finishing ila amefanikiwa kuweka mabox na floor ya cement ya twiga cementMbona ghafla sana
Kwamba hawa watumishi wanaohama amakuhamishwa vituo vya kazi wawe wanajenga kila wanakohamishiwa?Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi nyumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Aiseeeeee !!!Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi nyumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
MkuuYaani mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi nyumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Hujafa hujaumbika... Nani ajuaye ya kesho? Kuna watu katika umri mdogo kabisa walikuwa baba wenye nyumba lakini leo hii hata kodi ya chumba kimoja ni changamoto! HUJAFA HUJAUMBIKA..!
Hongera sana. Halafu huyo kijana mtoa uzi anakuja hapa kuwanyanyapaa wenzake kana kwamba waliomba iwe kwao kama walivyo. Amejisahau na hajui kibao kinaweza kugeuka e.g. nyumba anayotamba nayo ikashika moto(Japo hatuombei hilo).Duu sijui mimi jamaa ataniweka kundi lipi?Nina majengo manne napangisha ila nami nimeamua kupanga tena kwa mtu na maisha ni mazuri,nawaheshimu sana wapangaji wangu kwani nahisi nikawatenda vibaya nami yanaweza kunirudia.Tuheshimiane wajameni,kwn wengine tumejenga kwa jasho letu but inaonekana mtoa mada kawezeshwa na wazazi kumiliki alichonacho/alivyonavyo