Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Aliyekwambia kupanga ni aibu sijui nani, na wewe na likichwa lako ukamuamini!?Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi nyumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
New member welcome ila ushoga wako mwisho kwenu huko hukoAliyekwambia kupanga ni aibu sijui nani, na wewe na likichwa lako ukamuamini!?
Kila mtu ana preferences zake, Elon Musk amepanga, Mo dewji amepanga Dubai huko.
Kuna wengine wanapanga kutokana na eneo alilopo (Musk, Mo na wengine), wanapoishi ardhi kubwa inatakiwa kwa ajili ya uzalishaji, au kuna watu wengi kiasi cha kwamba haiwezekani kila mmoja akawa na eneo la makazi ya kudumu; ndio maana yakajengwa maghoroga ili ya-occupy nafasi ndogo with many inhabitants...
FANYA M’BICHWA ULE...!!😏
Toka kwenye nyumba ya kupanga mkuu jamaa kaongea ukweli mtupu![emoji85][emoji85]Utoto raha sana
AhsanteToka kwenye nyumba ya kupanga mkuu jamaa kaongea ukweli mtupu![emoji85][emoji85]
Ukweli umeupataNew members posts zao za mwanzo mwanzo huwa zinastaajabisha sana
Vipi ndio umehamia kwako mwisho wa wiki iliyopita nini?Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi nyumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
aga ahahahahaThis thread posted by someone who live at Mirembe corridor
Fake ID zinatunyima mengi sana, la sivyo tungewaona mashoga kama wewe mliokuwa tayari kufanywa chochote ili mjengewe nyumba! 😅New member welcome ila ushoga wako mwisho kwenu huko huko
Kwa ufahamu wako kila anaeishi nyumba ya kupanga hana nyumba??Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi nyumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Mshukuru Mungu kama umefanikiwaAiseee