Am the One
JF-Expert Member
- Nov 1, 2018
- 903
- 892
Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Pole sana kwa utumbo uliouandika mkuu .. siku yenyewe unatumia ya laki 4 inaonyesha ww Bado unakula ugali wa shkamo Mama.