Mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga?

Mpaka leo kuna watu wanaishi nyumba za kupanga?

Unless wewe ni Kobe yaani utakufa na nyumba yako; basi hauna tofauti na hao wapangaji....

Sote ni Wapitaji....
 
Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.

Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.

This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Sasa hayo maswali kwa wazee wetu,ungewauliza wao,maana wengine hatuna namna,walishatangulia mbele ya haki,sasa hv tunapambana Ili uzao wetu uaije ukaishi kwenye nyumba za kupanga,
Ila bro kupanga sio uzwazwa,inategemea umeanzia wapi,
Kama wewe unatoka familia kama ya Kikwete,Mkapa,Balali,Edwin Mtei,na vibopa wengine,hutapanga,lakini kama Mzee alikuwa Mtumishi wa umma,Tena local government,wewe hata fulsa uta husle sana kuzipata,unakuta nyumba mliyo nayo,ni hiyo ulipozaliwa,lazima utapanga tu,kwa kuanzia.
Ila Vijana inabidi kwenda hatua moja zaidi,usijenge tu nyumba ya kuishi!,Jenga kadhaa Ili uzao wako upate pa kuanzia,pili waachie business ya kufanya,wape Elimu Bora,waandalie mtaji,assets,
 
Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.

Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.

This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Sijui kama hutoki kule ilikoingia ndege ziwani
 
Back
Top Bottom