bubblymolly
JF-Expert Member
- Aug 28, 2019
- 495
- 703
Bwana Yesu nifundishe kunyamaza nisijekufuru.....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na wanalipa kodi za millions... Hao nao ni masikini kwa mujibu wa mleta mada .😅Acha kufuru ww
Ulaya na marekani zaidi ya 85% wanapanga,unashangaa nini?
Yan ni voice note 1 ya sekunde 3Angekula likizo isiyo na malipo sio😂
Yeye ni mungu? Idiot ashakumu si matusiKwa maneno haya mleta mada hutoboi
Atajua hajuiYan ni voice note 1 ya sekunde 3
Ashalamba ban la miezi 9
AhahhahaTumuombee sana
Pole sanaBwana Yesu nifundishe kunyamaza nisijekufuru.....
Hii account ya G Sam ni Jina langu na jina la baba angu....Tafuta hela uwe na mafanikio ya kutosha mpaka uone uvivu kuyaelezea humu jf kenge wewe....!
Sasa hayo maswali kwa wazee wetu,ungewauliza wao,maana wengine hatuna namna,walishatangulia mbele ya haki,sasa hv tunapambana Ili uzao wetu uaije ukaishi kwenye nyumba za kupanga,Yaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Sijui kama hutoki kule ilikoingia ndege ziwaniYaani mpaka leo kuna watu wanaishi za kupanga? Poleni aisee ila niwaambie kitu huo ni uzwazwa inakuaje mpaka leo kijana mzima unaishi byumba za kupanga? Sasa kipindi wazazi wa wenzenu wanapambana kuwatafutia viwanja na mali watoto wao nyie wazazi wenu walikuwa wapi? Shame on them.
Ili kuondoa hiyo aibu ya wazazi wenu pambaneni mtoke hayo magodown mnayoishi hao.
This thread posted by someone who live in his house and use Samsung note 10 plus 5G
Tatizo ni vitu vya kupewa mkuu ndo vinawavuruga hawa watoto wa kikweteKwanza Note 10 Plus ni simu ya zamani tayari.
Mimi nina Samsung Galaxy S22 Ultra, yenye 5G na Wifi 6, lakini sijaona sababu ya kujitapa kwa hilo.
Ulimbukeni tu.