Mpaka leo kuna watu wanatumia Tecno na Infinix

Mpaka leo kuna watu wanatumia Tecno na Infinix

Tajiri wa kusini

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2022
Posts
1,079
Reaction score
2,947
Enyi watu badilikeni basi inakuaje mpaka leo kuna watu wanatumia tecno? Kuna jamaa mmoja nimepishana nae njiani eti linatumia tecno aisee nilishikwa na kichefuchefu nusura nitapike yaani jinsi nilivyokerekwa na kuchukia baada kumuona linatumia tecno hebu badilikeni.

Yaani mimi nikimuona mtu anatumia tecno na infinix hata akiniomba msaada simsaidii jinsi ninavyokerekwa hivyo yaani mtu akitumia tecno na infinix mimi naona kama ni wagonjwa akili.


Serikalu fanyeni muanze kutoa mikopo ya hizo za Samsung na iPhone watu waache kutumia mabomu.

This thread posted by using Samsung note 10 plus 5G
 
Enyi watu badilikeni basi inakuaje mpaka leo kuna watu wanatumia tecno? Kuna jamaa mmoja nimepishana nae njiani eti linatumia tecno aisee nilishikwa na kichefuchefu nusura nitapike yaani jinsi nilivyokerekwa na kuchukia baada kumuona linatumia tecno hebu badilikeni.

Yaani mimi nikimuona mtu anatumia tecno na infinix hata akiniomba msaada simsaidii jinsi ninavyokerekwa hivyo yaani mtu akitumia tecno na infinix mimi naona kama ni wagonjwa akili.


Serikalu fanyeni muanze kutoa mikopo ya hizo za Samsung na iPhone watu waache kutumia mabomu.

This thread posted by using Samsung note 10 plus 5G

Usisahau pana watu nchi hii ambao hawajawahi kuongea kwenye simu kabisa katika maisha yao yote. Unao ushauri wowote kwao?
 
This thread posted by using Samsung note 10 plus 5G
Screenshot_20230109-160654.png

UDS 720 mtu anapata Note 10 zako tatu.
 
Back
Top Bottom