Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani jf ya Samsung na infinix ni tofauti?Enyi watu badilikeni basi inakuaje mpaka leo kuna watu wanatumia tecno? Kuna jamaa mmoja nimepishana nae njiani eti linatumia tecno aisee nilishikwa na kichefuchefu nusura nitapike yaani jinsi nilivyokerekwa na kuchukia baada kumuona linatumia tecno hebu badilikeni.
Yaani mimi nikimuona mtu anatumia tecno na infinix hata akiniomba msaada simsaidii jinsi ninavyokerekwa hivyo yaani mtu akitumia tecno na infinix mimi naona kama ni wagonjwa akili.
Serikalu fanyeni muanze kutoa mikopo ya hizo za Samsung na iPhone watu waache kutumia mabomu.
This thread posted by using Samsung note 10 plus 5G
Sio Don huyoDepal don wa Jf anakusalimia huku [emoji3][emoji3][emoji3]
Sent from my CPH2219 using JamiiForums mobile app
[emoji3][emoji3][emoji3]Sio Don huyo
Don gani ana simu ya mwaka majuzi
You nailed itHuna aibu kusema unatumia note10 kwan hujui simu iliyopo sokoni ni s22 na i14.
Acha kubwela na hilo lisimu lako la refurbish limelegea kama titi ya kikwongwe.
mabomu kwa vipi? wewe ni kichaa wa JFwatu waache kutumia mabomu.