Mjina Mrefu
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 3,045
- 3,389
Unaambiwa, Mjina Mrefu amekumiss mnoAt least namuelewa lava lava buana,ila huyo mbosso mmmmh. Hapana,au sijui atabadilika baadae lakini sijawahi kumuelewa
mboso anasura chachu kama kalimati za chumvi.
Hahahahah...! nimekupenda bure!yaani mboso ongezea na vile vitenge vya esma eti ndio baloz wao hua nacheka sana
Lebo si Ya Diamond, anapakaziwa tu na yeye kuona ujiko.
WEWE INAKUUMA NINI?ACHA WATU WASAJILI WATU WANAOWATAKA.NADHANI KAMA HAWAJASAJILI MTU KUNA VIGEZO WANAANGALIA KAMA TAASISI YAN WATU WANAKAA CHINI NA KUCHUKUA MTU.
SIO MAAMUZI YA PAPARA KAMA ULOCHUKUA WEWE KUANDIKA HUU UZI.KWA TAARIFA YAKO MBOSSO ALIKUWA NA MONDI WAKATI ANA SHOOT VIDEO YA ENEKA.
una maanisha nini hapoinasemekana ni nyoka wa kibisa Mr Lavalava ,