Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Wewe andika uongo tu ila bibi yako anateseka huko. Lini ulikuwepo shinyanga, nzega, Igunga, kahama, Geita, Kishapu, Shinyanga, Bukombe, Simiyu, Mwanza halafu hujaona maji ni shida?Upo sehemu gani,mbona maji yapo ya kutosha sehemu nyingi tu,hadi maeneo ya Shinyanga,Tabora(Nzega,Igunga)nk?
Bibi yangu anahusika vipi hapa mwanaharamu wewe?Wewe andika uongo tu ila bibi yako anateseka huko. Lini ulikuwepo shinyanga, nzega, Igunga, kahama, Geita, Kishapu, Shinyanga, Bukombe, Simiyu, Mwanza halafu hujaona maji ni shida?
Tatizo unaongea kama kenge hayo maeneo uliyotaja kila mtu anajua kuna shida ya maji, yani sehemu kama Musoma ziwa upo nalo ila maji haunaBibi yangu anahusika vipi hapa mwanaharamu wewe?
Au unataka kunisababishia ban?
TakatakaTatizo unaongea kama kenge hayo maeneo uliyotaja kila mtu anajua kuna shida ya maji, yani sehemu kama Musoma ziwa upo nalo ila maji hauna
Wewe utakuwa lumumba buku saba.Bibi yangu anahusika vipi hapa mwanaharamu wewe?
Au unataka kunisababishia ban?
Hapo kishapu ni pa hovyo sana niliwahi kununua maji dumu la lita 20 kwa 500 mwaka 2016 na maji yenyewe hayakua masafiWewe andika uongo tu ila bibi yako anateseka huko. Lini ulikuwepo shinyanga, nzega, Igunga, kahama, Geita, Kishapu, Shinyanga, Bukombe, Simiyu, Mwanza halafu hujaona maji ni shida?
Hii kenge itakuwa ni chawa wa lumumba anajifanya anakuja dm na vitishoTakataka
Mwanaharamu mama yako.Bibi yangu anahusika vipi hapa mwanaharamu wewe?
Au unataka kunisababishia ban?
πππKwa bahati mbaya sina mama.Mwanaharamu mama yako.
Endelea kuishi kwa shemeji kenge wewe.πππKwa bahati mbaya sina mama.
Kama maji hapo ulipopanga ni shida si uhame tu nyumba dada.
Pole..bahati mbaya hata shemeji sina,tulizaliwa men tu kwetuππEndelea kuishi kwa shemeji kenge wewe.