Mpaka miaka ya 1960's Lebanon ilifahamika kama Paris ndogo ya Mashariki ya Kati

Mpaka miaka ya 1960's Lebanon ilifahamika kama Paris ndogo ya Mashariki ya Kati

Nkobe

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2013
Posts
2,204
Reaction score
3,277
Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo.

Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na kufanya kazi za vibarua, matokeo yake wamezaana kama siafu na Wakristo leo kujikuta ni 43%.

Hii imesababisha kuzaliwa kwa vikundi vya jihad ndani ya Lebanon, matokeo yake sasa hivi Lebanon ni nchi masikini na inapambana hali ngumu ya ki uchumi, mauwaji yenye mlengo wa kidini.
 
Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo. Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na kufanya kazi za vibarua, matokeo yake wamezaana kama siafu na Wakristo leo kujikuta ni 43%, hii imesababisha kuzaliwa kwa vikundi vya jihad ndani ya Lebanon, matokeo yake sasa hivi Lebanon ni nchi masikini na inapambana hali ngumu ya ki uchumi, mauwaji yenye mlengo wa kidini
Vip Tanzania yenye wa kuristo wengi na wasomi, inaizidi Lebnon?.........
 
Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo. Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na kufanya kazi za vibarua, matokeo yake wamezaana kama siafu na Wakristo leo kujikuta ni 43%, hii imesababisha kuzaliwa kwa vikundi vya jihad ndani ya Lebanon, matokeo yake sasa hivi Lebanon ni nchi masikini na inapambana hali ngumu ya ki uchumi, mauwaji yenye mlengo wa kidini
Ni sawa sawa na Ulaya inavyofanya makosa kuwakaribisha Wahamiaji kutoka nchi za Kiarabu ambao wengi ni Waislamu! Leo hii wananunua Makanisa na kuyageuza miskiti,Wana waruhusu kuzaliana,leo hii wanashinikiza Ulaya wafuate Sharia! Ubakaji ndiyo usiseme!
My friend miongo michache inayokuja kilichotokea Lebanon kitazikumba nchi za Ulaya.
 
Amani au uoga na ujinga wa raia kama wewe wakati watu wana tekwa hadharani na kuawa ndo Amani au kwasbb halijakukuta wewe na familia yako.
Ujinga uliopo Tanzania hauufikii upumbavu wa huko Lebanon.Kuwakaribisha watu wasiojielewa sebuleni ni shida.Wanadai nyumba ni yao.
 
Back
Top Bottom