Mpaka miaka ya 1960's Lebanon ilifahamika kama Paris ndogo ya Mashariki ya Kati

Mpaka miaka ya 1960's Lebanon ilifahamika kama Paris ndogo ya Mashariki ya Kati

Una umri gani?..kajifunze kuhusu crusade,new Zealand australia USA na vita vya dunia, mashariki ya Kati,halafu jiulize Kati ya mkristu na muislam nani mpenda damu
Unaitaka hiyo historia mkuu? Naijua in and out. Hao crusaders walikua wanapambana na Roman empire; Roman empire walikua wanawaua Wakristo wa kweli, hao Wakristo uvumilivu uliwaishia wakaona nao wajibu, waliuawa wengi cause walikua wanapambana na dola ya RUMI. Baadae Dola ya Rumi ikajiuliza; why tunawapiga hao ilihali na sisi watu wanajua kua ni Wakristo? Then kikao kika kaa wakaona waanzishe dini mpya, hiyo dini mpya ilitengenezwa na Roman Catholic na mtume wake baada ya kutokewa na majini, pdre wa Roman Catholic ndio aliyemtamkia kwamba ajitabirie kwamba katokewa na malaika aliyewatokea Musa nk......, ndio baadae dini hiyo ikaenezwa kwa upanga, maeneo walioyalenga ni yale yale yaliokua na Wakristo wengi, kuanzia Asia ngodo, Ulaya mashariki, Misri, Libya na Africa kaskazini yote. Dini hiyo hiyo hadi leo inapenda sana KUUA, yaani popote waliopo hakunaga AMANI, hata wakikaa wenyewe kwa wenyewe lazima wapigane vita. Swali lingine?
 
Amani au uoga na ujinga wa raia kama wewe wakati watu wana tekwa hadharani na kuawa ndo Amani au kwasbb halijakukuta wewe na familia yako.
Kuliko kukimbia na magodoro na watoto mgongoni kutoroka vita, bora Tanzania. Tuulizeni tulioona vita ya Kagera, mkijikumbusha ba mabomu ya Mbagala Dsm na Gongo la Mboto
 
Ni sawa sawa na Ulaya inavyofanya makosa kuwakaribisha Wahamiaji kutoka nchi za Kiarabu ambao wengi ni Waislamu! Leo hii wananunua Makanisa na kuyageuza miskiti,Wana waruhusu kuzaliana,leo hii wanashinikiza Ulaya wafuate Sharia! Ubakaji ndiyo usiseme!
My friend miongo michache inayokuja kilichotokea Lebanon kitazikumba nchi za Ulaya.
Vita ya Ukraine imewaamsha......wataanza kubadilika, mzigo wa wahamiaji umeanza kuwashinda
 
Unaitaka hiyo historia mkuu? Naijua in and out. Hao crusaders walikua wanapambana na Roman empire; Roman empire walikua wanawaua Wakristo wa kweli, hao Wakristo uvumilivu uliwaishia wakaona nao wajibu, waliuawa wengi cause walikua wanapambana na dola ya RUMI. Baadae Dola ya Rumi ikajiuliza; why tunawapiga hao ilihali na sisi watu wanajua kua ni Wakristo? Then kikao kika kaa wakaona waanzishe dini mpya, hiyo dini mpya ilitengenezwa na Roman Catholic na mtume wake baada ya kutokewa na majini, pdre wa Roman Catholic ndio aliyemtamkia kwamba ajitabirie kwamba katokewa na malaika aliyewatokea Musa nk......, ndio baadae dini hiyo ikaenezwa kwa upanga, maeneo walioyalenga ni yale yale yaliokua na Wakristo wengi, kuanzia Asia ngodo, Ulaya mashariki, Misri, Libya na Africa kaskazini yote. Dini hiyo hiyo hadi leo inapenda sana KUUA, yaani popote waliopo hakunaga AMANI, hata wakikaa wenyewe kwa wenyewe lazima wapigane vita. Swali lingine?
We jamaa popoma kweli,crusade imetokea 1010,roma empire wakati wa crusade wala haikuwepo,unaongeaongea vitu kama umepagawa
 
Umesema kama ilivyo kawaida ya wakristu kifaumbele ni elimu na kujituma unaongeleaje Hawa 76% wa Tanganyika?
Na vipi kuhusu Dubai?
Matajiri wengi dubai ni wa hindi ,waingereza(Indian-British) ndio wamejenga dubai.ingia Wikipedia
 
Screenshot_20240929-224339_X.jpg
 
Kweli kabisa hata Qatar, saudia Arabia,Kuwait Brunei,Malaysia na UAE ni nchi za kikristo ndo maana pameendelea vile
Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo.

Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na kufanya kazi za vibarua, matokeo yake wamezaana kama siafu na Wakristo leo kujikuta ni 43%.

Hii imesababisha kuzaliwa kwa vikundi vya jihad ndani ya Lebanon, matokeo yake sasa hivi Lebanon ni nchi masikini na inapambana hali ngumu ya ki uchumi, mauwaji yenye mlengo wa kidini.
 
Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo.

Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na kufanya kazi za vibarua, matokeo yake wamezaana kama siafu na Wakristo leo kujikuta ni 43%.

Hii imesababisha kuzaliwa kwa vikundi vya jihad ndani ya Lebanon, matokeo yake sasa hivi Lebanon ni nchi masikini na inapambana hali ngumu ya ki uchumi, mauwaji yenye mlengo wa kidini.
Enzi za Mfalme Suleimani alinunua mierezi, miti bora kutoka Lebanoni, Lebanoni isifika kwa uzuri wa maua yake
 
We jamaa popoma kweli,crusade imetokea 1010,roma empire wakati wa crusade wala haikuwepo,unaongeaongea vitu kama umepagawa
Huna unacho kijua mkuu; Tulia, kula kashata, nenda katafute uzu baadae kunywa kahawa yako taratiiibu bila bughudha. Dini yako ilitengenezwa Vatcan, mkatafutiwa na mtu ambaye amewahi kufanya biashara na Wayahudi, mtu ambaye alikua anajua jua mambo ya Wayahudi; kapigwa JINI then kiongozi mmoja wa dini ya pale pale Ulaya ndio akamwambia, "jitabirie kama umetokewa na jibrili" mbona hi ipo kwenye vitabu vyenu? Hujui hata kitu kidogo namna hi bro?
 
Huna unacho kijua mkuu; Tulia, kula kashata, nenda katafute uzu baadae kunywa kahawa yako taratiiibu bila bughudha. Dini yako ilitengenezwa Vatcan, mkatafutiwa na mtu ambaye amewahi kufanya biashara na Wayahudi, mtu ambaye alikua anajua jua mambo ya Wayahudi; kapigwa JINI then kiongozi mmoja wa dini ya pale pale Ulaya ndio akamwambia, "jitabirie kama umetokewa na jibrili" mbona hi ipo kwenye vitabu vyenu? Hujui hata kitu kidogo namna hi bro?
Halafu vatican haohao wanahangaika kupambana na huo uislam walioutengeneza!?..hata kufikiri huwezi!!
 
Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo.

Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na kufanya kazi za vibarua, matokeo yake wamezaana kama siafu na Wakristo leo kujikuta ni 43%.

Hii imesababisha kuzaliwa kwa vikundi vya jihad ndani ya Lebanon, matokeo yake sasa hivi Lebanon ni nchi masikini na inapambana hali ngumu ya ki uchumi, mauwaji yenye mlengo wa kidini.
Ni kama wapemba wanavyozaliana sasa.

Ipo siku watakinukisha.
 
Halafu vatican haohao wanahangaika kupambana na huo uislam walioutengeneza!?..hata kufikiri huwezi!!
Nimepingana na wewe vitcan hujawahi kupambana na uislam ila uislam ndo unapambana na ukristo
Naomba nieleweke apo
 
Na amepiga marufuku mafundisho fulani, pia amepiga marufuku zaidi ya hadith 200 za Mohammed
Kuhusu Hadith ndio zimefutwa , kasome hadith kweny uislamu, zipo sahili & dhaifu .


Hadithi nyingi zilitokana na uzushi baada ya watu walikuwa mashuhuri katika uandishi kuamua kuandika vile wanajua , wapo watu walidai waliambiwa na mtume wawe viongozi baada ya yeye kufariki ...Hadithi yoyote ikipingana na Qur an basi ni scam ....Ukisoma Qur an halafu ukiona hadithi dhaifu ya kutungwa basi unajua .

Sio 200 ni zaidi ya hapo , kuna vilizobaki kweny vitabu ila ukisoma basi ni uongo.
 
Nimepingana na wewe vitcan hujawahi kupambana na uislam ila uislam ndo unapambana na ukristo
Naomba nieleweke apo
Crusade walikua akina nani?
What were the holy wars against the Muslims?


The great series of western holy wars were the Crusades, which lasted from 1095 until 1291 CE. The aim was to capture the sacred places in the Holy Land from the Muslims who lived there, so it was intended as a war to right wrongs done against Christianity. The first Crusade was started by Pope Urban II in 1095.

Jumlisha juhudi/harakati kama zile za kumtumia nyerere
 
Back
Top Bottom