Raia wa Lebanon wenge kua waoga na wa jinga kama raia wa Tanzania pia kungekua na amani tere.......Ina Amani ya kutosha...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Raia wa Lebanon wenge kua waoga na wa jinga kama raia wa Tanzania pia kungekua na amani tere.......Ina Amani ya kutosha...
Wamevamiwa na Urusi.Ukraine nayo ni mistake gani walifanya?
Hadithi wangeacha wasimuliane tu.Zinasaidia watoto walale unono.Na amepiga marufuku mafundishobfulani, pia amepiga marufuku zaidi ya hadith 200 za Mohammed
Somalia ina waislamu tupu.Hakuna magaidi Kama Somalia yenye Waislamu wengi
Kwanini wamevamiwa?Wamevamiwa na Urusi.
Zile hadithi , mfalme MBS alisema zimepitwa zinapotosha na wakati na hazina maana yoyote katika Dubai anayoiandaa kuwa Europe of middle eastHadithi wangeacha wasimuliane tu.Zinasaidia watoto walale unono.
Akili mbovu za Putin kutumia mbinu za akina Manka Kankan Musa wa Ghana ya kale kukuza milki yake kwa kuteka nchi zingine.Kwanini wamevamiwa?
Unaandika haya sababu ya Amani uliyonayo....nenda Congo au SudanAmani au uoga na ujinga wa raia kama wewe wakati watu wana tekwa hadharani na kuawa ndo Amani au kwasbb halijakukuta wewe na familia yako.
Uwongo mwingi, wakristu wa lebanon ni mabaki ya crusaders ambao salahud din aliwaacha na kuwazingira baada ya kuwabonda miji mingine, waislam wa lebanon hawatokani na vibarua wa syria kama ulivyodaiUkisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo. Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na kufanya kazi za vibarua, matokeo yake wamezaana kama siafu na Wakristo leo kujikuta ni 43%, hii imesababisha kuzaliwa kwa vikundi vya jihad ndani ya Lebanon, matokeo yake sasa hivi Lebanon ni nchi masikini na inapambana hali ngumu ya ki uchumi, mauwaji yenye mlengo wa kidini
Hii ni dunia iliyojaa watu wenye tamaa, uovu na ubabe.Akili mbovu za Putin kutumia mbinu za akina Manka Kankan Musa wa Ghana ya kale kukuza milki yake kwa kuteka nchi zingine.
Umesoma kipengele cha ukristo tu, mengine yote ukaona pumbaVip Tanzania yenye wa kuristo wengi na wasomi, inaizidi Lebnon?.........
Dubai hawataki Sharia za Kiislam masaa 24 unawaza msikiti na miongozo ya imani iliyotungwa na vizazi vya miaka ya 1600 ambapo haiendani na kasi ya dunia ya sasa. Dubai ni full kujiachia, hakuna kulazimishana kufunga biashara ili kwenda msikitini, mwanamke sio mfugo, anaruhusiwa kutoka na kufanya kaziUmesema kama ilivyo kawaida ya wakristu kifaumbele ni elimu na kujituma unaongeleaje Hawa 76% wa Tanganyika?
Na vipi kuhusu Dubai?
So tunakubaliana Uislam na vita plus mauajia ya kijinga ni kama maji na samaki right? Naelewa sasa, why Nyerere alilazimisha muungano na visiwani or else, huku bara kusingekalika cause Waislam wana kiu ya damu za binadamu wenzaoUwongo mwingi, wakristu wa lebanon ni mabaki ya crusaders ambao salahud din aliwaacha na kuwazingira baada ya kuwabonda miji mingine, waislam wa lebanon hawatokani na vibarua wa syria kama ulivyodai
Gdp sawa ila habari ya mjini sa iv ni per capital incomeTanzania kwa GDP imeipita Lebanon
Pamoja na hayo yote mkuu. Ukitembea nchi zote za kiarabu hakuna nchi nzur kama Lebanon. Huwez kuamin uoto wake wa asili kama upo uarabuni.Ukisoma historia ya Lebanon, hadi miaka ya 1960, ilikuwa nchi ya Wakristu. Kama ilivyo kawaida kwa jamii za Kikristu, Focus yao kubwa ilikuwa ni elimu, kusali na kufanya kazi kwa bidii, hii iliifanya Beirut kuitwa Paris ndogo. Kosa lililofanyika ni kuruhusu Wasiria na Wapalestina kuhamia na kufanya kazi za vibarua, matokeo yake wamezaana kama siafu na Wakristo leo kujikuta ni 43%, hii imesababisha kuzaliwa kwa vikundi vya jihad ndani ya Lebanon, matokeo yake sasa hivi Lebanon ni nchi masikini na inapambana hali ngumu ya ki uchumi, mauwaji yenye mlengo wa kidini
Unajua crusaders ni akina nani na walitoka wapi?..unajua mauaji waliyofanya jerusalem kwa wayahudi, waislam na makristo wa orthodox?..unajua mauaji waliyofanya hapo kwa karne kabla Salah din hajaibuka,unajua mauaji yaliyofanywa na wakristu new Zealand, australia, USA,unajua vita ya kwanza watu wangapi waliuawa!?..unajua toka 2000 ni vita vingapi wakiristo wa ulaya na marekani wamevifanya duniani!?..So tunakubaliana Uislam na vita plus mauajia ya kijinga ni kama maji na samaki right? Naelewa sasa, why Nyerere alilazimisha muungano na visiwani or else, huku bara kusingekalika cause Waislam wana kiu ya damu za binadamu wenzao
Una umri gani?..kajifunze kuhusu crusade,new Zealand australia USA na vita vya dunia, mashariki ya Kati,halafu jiulize Kati ya mkristu na muislam nani mpenda damuSo tunakubaliana Uislam na vita plus mauajia ya kijinga ni kama maji na samaki right? Naelewa sasa, why Nyerere alilazimisha muungano na visiwani or else, huku bara kusingekalika cause Waislam wana kiu ya damu za binadamu wenzao