Mpaka Mwalimu Nyerere anaondoka madarakani, uchumi wa Tanzania ulikuwa ni mkubwa kuliko wa Kenya. Marais waliomfuatia walikwama wapi?

Weka hapa hizo takwimu, hata logic ya kawaida tu inakwambia, labda nikuulize kwa nini Jumuiya ya AM ilivunjika kama ni kweli Tanzania ilikuwa ni tajiri zaidi ya Kenya? Unaijua sababu hasa?
takwimu zipo kwenye video clip ya uzi. rudia kuusoma uzi, comrade!
 
Upo vizuri
 
takwimu zipo kwenye video clip ya uzi. rudia kuusoma uzi, comrade!


Weka chanzo cha takwimu zako, isitoshe nimekuuliza kwa nini Tanzania yetu ilijitoa Jumuiya ya AM kama ilikuwa tajiri kuliko Kenya? Tanzania miaka yote tulikuwa tunategema bidhaa kutoka Kenya, sasa kwa nini kama tulikuwa na uchumi mkubwa? Ni baada ya kuanzia miaka ya 90' ndiyo tukaanza kuwa na Makampuni yetu ambaye yaliweza kuuza bidhaa Kenya kabla ya hapo kila kitu kilitoka Kenya, kwa nini?
 
Hizi porojo kweli Tanga wezi wengi, nyerere aliyekuwa kibaraka wa wazungu unajaribu kumsafisha kwa jiki, kadanganye watoto wenzio huko madrasa
Ana kashfa gani ambayo mtu mdogo kama mimi nianze kumsafisha? Mtazamo wako sio lazima iwe wangu sababu wewe si biblia wala Quran.
Ili hoja iwe ina mashiko, toa evidence za namna gani Nyerere alikuwa kibaraka wa wazungu.
Vinginevyo nikukumbushe tu, Hakuna watu walioiletea shida nchi yetu kwa ubabaishaji wao huku wakijidai ni wazalendo, kama Baadhi ya nyinyi mnaojiita wazee
 
Kenya walianza kunitegemea kwa budget baada ya ile kashfa kubwa ya 1992. Hata hivyo, Kenya was and has always been a preferred investment destination in the region
 
Kenya walianza kunitegemea kwa budget baada ya ile kashfa kubwa ya 1992. Hata hivyo, Kenya was and has always been a preferred investment destination in the region


Tanzania hatujawahi kuwa na Uchumi mkubwa kuliko Kenya, na hii inaanzia kwenye Ukoloni, Kenya ndiyo iliyokuwa Makao makuu ya British East Afrika, na makao makuu ya British East Afrika yalikuwa Nairobi na siyo Dar, hata Umoja wa Afrika Mashariki ulianzishwa na Uingereza na waliweka makao makuu Nairobi ya karibia kila kitu na Dar na Kampala zilikuwa ni matawi tu, na ndiyo moja ya sababu ya huo umoja kufa, ...
 
Mtaongea Sana, lakini ukweli ni kwamba Tanzania na kenya zinazidiana kwenye bahadhi ya vitu, yahani kuna bahadhi ya sectors kenya wapo vizuri zaidi ya Tanzania na kuna bahadhi ya sectors Tanzania wapo vizuri kuliko Kenya.

Lakini mwisho wa siku hizi nchi mbili zote ni utopolo, kenya ubepari wao unafanya viongozi wa kishirikiana na mabeberu kuifilisi nchi yao kwa masilai yao binafsi na kuacha raia wengi wakihishi kwenye lindi la Umasikini, wakati Tanzania ujamaa umetengeneza jamii ya watu wavivu na wajinga ambao umekua mtaji wa viongozi wetu kuipeleka nchi wanavyotaka wao.

Mwisho wa siku kenya na Tanzania zote ni nchi maskini
 
GDP na GNP ni kamfumo ka ubepari na huko ndio kana mashiko haswa. Kwa nchi kama TZ kuzungumzia hayo mambo ni sawa na kumpigia mbuzi gitaa kwa enzi zile, japo kwa sasa si haba sababu kiasi fulani yanatiliwa maanani ila sii kipimo halisi cha ukuaji wa uchumi bali kuangalia affordability ya watu kuwa na uwezo wa kupata mahitaji yao muhimu.

Yapo mataifa ambayo yana per capita kubwa sana (kama vile EQUATORIAL GUINEA) ila wanaishi maisha duni sana, the same goes to Kenya
 
wacha matusi nyang'au wewe 😅😅😅...!! una maana Watz bado ni wavivu hata sasa chini ya #hapakazitu??!!
Hapa kazi tu) anayo bidii na bidii yake ni ya kuwaamsha wa vivu ambao ni wengi sasa. Eh bwana eh fanyeni kazi kwa bidii uvivu huu una wagharimu sana...amkeni saa kumi asubuhi
 
Na Lissu ndiyo aliyemtukana sana Mwalimu Nyerere. Kumbukumbu zipo
 
Umesema Mkapa aliondoka 2005 wakiwa wametuzidi kwa $2B halafu tena JK ameingia wakiwa wametuzidi kwa $8B
Sijaelewa hapo boss.!
 
No country on this continent that can boast of being corruption free.

In Tanzania the government is spending money without the approval of the parliament but only the president is the one who approves in direct violation of the provisions of the government procurement act of 2004.

There are some state corporations and institutions whose finances cannot be audited by the CAG Office under order from the Head Of State..!! All this shows nothing but hallmarks of surreptitious acts of corruption.
 
nyerere ndio aliyeharibu ustawi was taifa kwa kutuachia katiba ya kifalme,uchumi wetu unaharibiwa na watawala wenye mamlaka makubwa
kupiliza,embu imagine MTU anachukua hela za umma na kwenda kununua korosho,lengo awakomeshe wafanya biashara,Tanzania ni chi ya wajinga
 

Kuamua kutumia hela bila bunge kuamua ndio corruption? Which state corporations which the AG is not allowed to audit?
 
Kuamua kutumia hela bila bunge kuamua ndio corruption? Which state corporations which the AG is not allowed to audit?
Matumizi ya pesa za umma lazima yaidhinishwe na bunge sasa hii ya mtu mmoja kunyakua mamlaka ya bunge inatoka wapi na sisi walipa kodi tunajua kazitumiaje? Hili ni kosa la jinai kabisa.

Shirika kama Atcl mahesabu yake yanakaguliwa na nani na ikulu matumizi yake yanakaguliwa na nani haikaguliwi ndio maana rais anajichotea pesa na kutembea nazo mikoani akizigawa ovyo apendavyo.

Halafu ujue AG hana jukumu la kukagua mahesabu ya serikali ila ni CAG.
 
Mbona unatoa povu tu sijaona fact hapo kwaiyo vitimbi inavyofanya kenya kutaka kuaminisha dunia Tz kuna corona huvioni?
 

Kazi mnayo. Ndio maana nasema Dola mtaisikia redioni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…