Hakuna chama kinachoweza kutawala siku zote labda kama wewe uelewa ni mdogo ndio utabisha hilo.Kazi mnayo. Ndio maana nasema Dola mtaisikia redioni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna chama kinachoweza kutawala siku zote labda kama wewe uelewa ni mdogo ndio utabisha hilo.Kazi mnayo. Ndio maana nasema Dola mtaisikia redioni
Utachelewa sana trust me. Mambo yanabadilika. Ila sio leo wala kesho. Sio kwa watu hawa wanasema wanaleta mabadiliko. Hawana sifa wala weledi. Wanahangaika kumchekesha mzunguHakuna chama kinachoweza kutawala siku zote labda kama wewe uelewa ni mdogo ndio utabisha hilo.
Yes, they can be worse but their political rivals are no better and that's why this country is the way it is...!!🙄Utachelewa sana trust me. Mambo yanabadilika. Ila sio leo wala kesho. Sio kwa watu hawa wanasema wanaleta mabadiliko. Hawana sifa wala weledi. Wanahangaika kumchekesha mzungu
Na wasingekuwa na sifa wasingepigwa risasi na hao hao wanadai leo kuwa hawana sifa.Utachelewa sana trust me. Mambo yanabadilika. Ila sio leo wala kesho. Sio kwa watu hawa wanasema wanaleta mabadiliko. Hawana sifa wala weledi. Wanahangaika kumchekesha mzungu
Unaweza usipishane angani but zikatumika kwenye white elephant project hapo ni heri kupishana angani ili kukuza diplomasiaHii kama ina kigezo cha kuhesabu safari za viongozi kupishana angani wakitumbua fedha za walipa kodi wao, Kenya wanayo kila sababu ya kutushinda awamu hii.
Na wasingekuwa na sifa wasingepigwa risasi na hao hao wanadai leo kuwa hawana sifa.
Unaweza usipishane angani but zikatumika kwenye white elephant project hapo ni heri kupishana angani ili kukuza diplomasia
Mkapa aliondoka akaacha gape 2B, JK akaingia akakuta gape ni 8B. Between Mkapa na JK, Rais asiyejulikana aliongeza gape hewa la 6B. Cooked data
Za kununua wapinzani,kurudia chaguzi, kujenga Chato ni sahihi? Kujenga majengo yasiyozalishaBora zipotelee kwenye white elephat projects tu kama makao makuu Dodoma. Kuliko zipotelee kwenye kwenda kubembea Jamaica na Kwenye hawa temb weupe wa Bandari ya Bwaga/bwegemoyo na zile nyumba za nssf dege ambazo saizi ni makazi ya nguchiro, vicheche, vimburu, fisi wa usafiri usiku na sehemu ya kuchukulia nondo /vyuma chakafu kwa wajenzi wa makazi jirani ba pale. Wapembuzi yakinifu walio buni miradi hii ambao ni vivakav kama vibaka wengine tu eti walishachukua advance yao.
👊👊Sisi uchumi unakuwa kwenye makaratasi
Poa poa
False and bogus prophet at work.You can't do anything and get away with it. That is anywhere in the world. Hakuna Rais anayeokotezwa sababu anaongea sana na anajuana na wazungu.
Itachukua muda mrefu sana Tanzania kuongozwa na mpinzani. Sio leo wala kesho