Mpaka sasa hakuna mwanaume aliyevunja rekodi ya mahari ya Adamu kwa Eva

Mpaka sasa hakuna mwanaume aliyevunja rekodi ya mahari ya Adamu kwa Eva

Sexless

JF-Expert Member
Joined
Mar 11, 2017
Posts
23,683
Reaction score
55,898
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu dunia kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!

Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.

Hakuna wanaume siku hizi.
 
Adamu ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva.

Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.

Hakuna wanaume siku hizi.
Una jinsia gani???
 
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva.

Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.

Hakuna wanaume siku hizi.
Kaa kwa kutulia
Mjinga wewe
Endelea kuchezea dudu tuu
 
Stress za masingle mama hizo...Kuna mwenzenu alisema mahal yake shart iwe 50 mil[emoji3][emoji3][emoji3]saizi kaolewa na dokta love tena kwa hel ndogo[emoji41][emoji41][emoji41]
 
Unadhani kukojoa shahawa ni kazi rahisi?

Kama unaona ni rahisi jaribu kukojoa na wewe.
 
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!

Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.

Hakuna wanaume siku hizi.
Wewe inaonekana ni mtu wa upinde
 
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!

Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.

Hakuna wanaume siku hizi.

Kutoa Ubavu haikua maamuzi yake ni Mungu
 
Usipotoshe uumbaji mkuu halafu hili la mahali ulikuwepo kipindi eva anaumbwa au unaishi kwa nadhalia tu

Story story za vijiweni
 
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!

Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.

Hakuna wanaume siku hizi.
Ng`ombe Ten. Eeeeh
....!
 
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!

Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.

Hakuna wanaume siku hizi.
kwa kawaida mahari inapaswa kutolewa ikiwa mwanamke ni bikra, kama si bikra haitakiwi kutolewa mahari maana tayari ni mke wa yule aliyemtoa bikra.

kwa nini unataka mke wa mtu anapoolewa atolewe mahari?

NB: Adamu alikuwa sahihi kutoa mahari. hata mimi leo nikimpata bikra niko tayari hata kukata mkono kama mahari
 
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!

Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.

Hakuna wanaume siku hizi.
Mahari ya mbavu mbili unadhani Eva alikuwa hana bikra kama nyie ? Mwanamke hana bikira hata moja kote puuuu breki mapaja nani atoe million 5 ? Kwanza Adam hakutoa ni Mungu mwenyewe alimlaza na kumtoa acha kuokoteza mistari kujifariji ili ulipiwe mahari ukiwa kopo.
 
Back
Top Bottom