Una jinsia gani???Adamu ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva.
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Kaa kwa kutuliaAdam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva.
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Wewe inaonekana ni mtu wa upindeAdam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Hata mahari za huku duniani wana pangiwa na wakwe.Kutoa Ubavu haikua maamuzi yake ni Mungu
Mbavu za Adam zilichomolewa na Mungu halafu ndiyo zikatumika kumuumba Eva.Yale matunda au?
Hivi kweli uliona mbavu zikichomolewa??Adam alimpa lilith mahari gani???Mbavu za Adam zilichomolewa na Mungu halafu ndiyo zikatumika kumuumba Eva.
Ng`ombe Ten. EeeehAdam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Dishi elekezea mjiniHakuna wanaume siku hizi
kwa kawaida mahari inapaswa kutolewa ikiwa mwanamke ni bikra, kama si bikra haitakiwi kutolewa mahari maana tayari ni mke wa yule aliyemtoa bikra.Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Mahari ya mbavu mbili unadhani Eva alikuwa hana bikra kama nyie ? Mwanamke hana bikira hata moja kote puuuu breki mapaja nani atoe million 5 ? Kwanza Adam hakutoa ni Mungu mwenyewe alimlaza na kumtoa acha kuokoteza mistari kujifariji ili ulipiwe mahari ukiwa kopo.Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu duania kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Alafu ainue dishi kidogo lisiangalie chini.Dishi elekezea mjini