Hata sasa tupo tumejaa teleEva alikuwa kitu piru... Virgin,
πππHata sasa tupo tumejaa tele
π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£π€£.kwa kawaida mahari inapaswa kutolewa ikiwa mwanamke ni bikra, kama si bikra haitakiwi kutolewa mahari maana tayari ni mke wa yule aliyemtoa bikra.
kwa nini unataka mke wa mtu anapoolewa atolewe mahari?
Halafu Eva boya sana, akabikiriwa na nyokaAdam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu dunia kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu dunia kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
kwa kawaida mahari inapaswa kutolewa ikiwa mwanamke ni bikra, kama si bikra haitakiwi kutolewa mahari maana tayari ni mke wa yule aliyemtoa bikra.
kwa nini unataka mke wa mtu anapoolewa atolewe mahari?
NB: Adamu alikuwa sahihi kutoa mahari. hata mimi leo nikimpata bikra niko tayari hata kukata mkono kama mahari
nyie mwasema sie twaona na twaamuaHata sasa tupo tumejaa tele
Na ni utapeliUnatoa mahari kubwa mwanamke Hana Bikra huo ni ulimbukeni.
Umetapeliwa nn hapo? Kwani unaoa bikra ama mke?Na ni utapeli
Hao watakuwa wadangajiWaolewaji wenyewe wengi wao wataka hata mahari isiwepo wabebwe bureeee
huyu jinsia ubadilika mara kwa mara, Sexless.Una jinsia gani???
ππππππhuyu jinsia ubadilika mara kwa mara, Sexless.