Spartacus boy
JF-Expert Member
- Sep 22, 2020
- 1,727
- 3,464
[emoji1787][emoji1787]Huna akili.Alipewa usingizi mzito kwanza akasachiwa walivyomuona hana pesa ndiyo wakamtoa mbavu...
kwani adam alitoa mbavu kwa hiyali yak au mbav zilitolew na mungu tu pasi majadiliano na huyo adam mwnywAdam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu dunia kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Aliyekwambia ubavu wa Adamu ni mahari nani? Mafundisho potoshi kabisa hayo.Adam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu dunia kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
😂😂😂DohAdam ndiye mwanaume aliyeoa kwa mahari kubwa kuliko mwanaume mwingine yeyote tangu dunia kuumbwa. Imagine alitoa mbavu zake ili kumpata Eva!
Halafu hawa "ng'ombe" wa siku hizi wakipangiwa mahari ya milioni 5 tu wanalalamika utadhani wamekatwa kichwa.
Hakuna wanaume siku hizi.
Mm nimeongezeaNa atakayeongeza na yeye ataongezewa.