jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
najua mda huu unaugali au wali tumboni hivyo unanguvu sana ktk nyanja zozote hata kiubishi hivyo sikuwezi mkuu
Lissu ana ushawishi kuliko mtu yoyote hapa Tanzania, ndio maana alimiminiwa risasi za kivita.
Nchi ya utopolo kama Tanzania haitaki vichwa kama vya Tundu Lissu.
Sifa za TL ambazo Gwajima na wanaCCM wengi hawana ni uadilifu na kupenda haki.