Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

najua mda huu unaugali au wali tumboni hivyo unanguvu sana ktk nyanja zozote hata kiubishi hivyo sikuwezi mkuu
Lissu ana ushawishi kuliko mtu yoyote hapa Tanzania, ndio maana alimiminiwa risasi za kivita.

Nchi ya utopolo kama Tanzania haitaki vichwa kama vya Tundu Lissu.

Sifa za TL ambazo Gwajima na wanaCCM wengi hawana ni uadilifu na kupenda haki.
 
Halima keshaondoka hapo ingawaje nampenda sana yule dada. Haogopi na anajiamini ila kwa huyu mtu aliyeweka, kazi anayo. Pesa , kuongea na ushawishi.
Huu ndo ukweli. Siku zote Halima anapata kura za kawe kwasbbu CCM haijawahi kuwa na mgombea madhubuti. 2015 alibebwa na mbeleko ya Lowassa.
 
Uzuri ni kwamba ile video ya ngono ya gwajima bado ninayo,,, na nitaanza rasmi Leo kuisambaza kwenye magroup ya whatsup ili kila mtu aone uchaf wa gwaji boy kudadeki...... huyu Gwajima hafai kuwa kiongoz
 
Mimi sina muda wa kupoteza na mtu asiyejuwa lolote kwenye siasa wala asiyejuwa mikakati ni nini.

Kama kuna sehemu ccm wamepatia basi ni jimbo la kawe, mimi napenda Halima Mdee ashinde lakini kwa strategy waliyokwenda nayo ccm, Gwajima ana advantage kubwa ya kushinda siwezi kuandika yote hapa

Mimi naijuwa siasa vizuri sana ccm wanalitaka sana jimbo la Kawe na hakika Gwajima anakwenda kuibeba ccm kawe.
Kipimo chako cha Gwajima atashinda Kawe ni kipi????

Kama ana umaarufu na anapendwa ni vipi hakuweza kuwashawishi hata wajumbe tu wa CCM???

Gwajima ni mdini na mkabila no 1. Yeye ndo muanzilishi wa project ya Wapwa tuinuane akihubiri kampeni za kikabila.

Nadhani huwajui wapiga kura wa Kawe!! Tukutane October
 
najua mda huu unaugali au wali tumboni hivyo unanguvu sana ktk nyanja zozote hata kiubishi hivyo sikuwezi mkuu
Nikupe tu taarifa, mimi nimekuwa muumini wa kanisa la Gwajima since 2012 baadae nikatoka Dar.

Ila najua mapungufu yake sana japo hayo ya ngono sikuwa nayajua.
 
Huu ndo ukweli. Siku zote Halima anapata kura za kawe kwasbbu CCM haijawahi kuwa na mgombea madhubuti. 2015 alibebwa na mbeleko ya Lowassa.
Jidanganye kama CCM mpo wengi ata likiwekwa jiwe CCM haiwezi shinda jiwe au kimba la asubuhi!
 
Baada ya CCM kumpitisha Gwajima , nina uhakika Mdee atashinda uchaguzi katika Jimbo hilo tena kwa kura nyingi zaidi safari hii kuliko ilivyokuwa mwaka 2015 unless haki isitendeke.

Ukiacha watu kuichoka CCM, Gwajima bado ataponzwa na kauli zake ambazo pia zinapatikana mitandaoni, na uzuri hapa Dar wenye smartphone ni wengi, hivyo itakuwa rahisi watu ku-share clips zake na kufanya aliyoyasema, hasa yale yenye element za udini, kuwafikia watu wengi zaidi.

Sababu nyingine itayochangia ashindwe ni kutokuwa chaguo la wana-CCM bali amekuwa chaguo la viongozi wa CCM kwani hakushinda katika kura za maoni, hivyo ni wazi wako baadhi ya wana-CCM ambao hawatampigia kura..

Kingine: Waumini wa Gwajima ni sehemu ndogo sana ya wakazi na wapiga kura wa Jimbo la Kawe, hivyo advantage ya yeye kuwa kiongozi wa dini ni ndogo sana kumbeba bila kusahau ukweli kuwa watanzania hawana sana utamaduni wa kuchagua mtu kwasababu tu ni kiongozi wa kidini.

Kuanzia leo nakuendelee tutarajie kuona clip za Gwajima zikiibuka upya na kwa kasi mitandaoni.

Halima huko aliko bila shaka atakuwa anachekelea kupata mpinzani ambae teyari ameshajiharibia kwa kauli zake mwenyewe.

Muda utaongea.
Ana kazi kubwa sana kwani alimtukana Pengo, waislamu so sijui kama atapata kura za kutosha kushinda
 
Halima Mdee alidhani angepelekewa yule Chalie au Angela awachakaze. Dadeki kimeletwa chuma, mwendo wa kusaga na kukoboa.
 
Tena napenda ungeanza kuzipost picha zake sasa hivi tena ukianzia na zile alizokuwa anakula kondoo hapo ndipo utakapoona gwajima ni moto mwingine.halima afanye kazi ya ziada sana, usije jidangany kuwa mkiziweka hizo post ndo mtamuharinia gwajiboy.
 
Salary Slip,

Katika maeneo ambayo watu wanafikiri sawa sawa, Kawe ikiwemo bila shaka, Gwajima hawezi kuwa mtu sahihi anayefaa kuwawakilisha wananchi Bungeni. 1. Gwajima ni mwongo 2. Ni mjanjamjanja asiyenyoosha maelezo 3. Ni mtu ambaye ametafutiwa au ametafuta ubunge kwa maslahi yake binafsi na au ya yule aliyemtafutia.

Kwa leo itoshe kusema Gwajima anang'an'aniwa na watawala kwa malengo yao, na sio kwa maslahi ya Kawe na Taifa hili! Jambo muhimu la kufanya sasa, tuungane wananchi wa Kawe kuukataa huu ujanja ujanja usioliletea manufaa yoyote Taifa letu! TUMNYIME KURA mapemaaaa
 
Back
Top Bottom