Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Halima Mdee ameshashinda Jimbo la Kawe, Dar-es-Salaam

Gwajima Hana akili ya kushawishi watu wenye akili kama wapiga kura wa jimbo la Kawe!!!

Kama hakuweza kuwashawishi wajumbe tu wa CCM ndo aweze kuwashawishi wapiga kura wa kawe??? Hapana. Labda kama CCM wameona anaweza kujifanyia kampeni kwa fedha zake ila sio kuwashawishi wapiga kura wasomi wa jimbo la Kawe!!! Mdee ameshashinda!
Wajumbe wanashawishika kwa pesa mkuu, Gwaji mtunwa Mungu hakutoa mlungula wajumbe wakamchinja.

Ukweli Halima Mdee anaondoka tena mapema na asubuhi.
 
Huyu anajitekenya nankucheka mwenyewe hamjui gwajiboy vizuri.
Mtu aliyeshindwa kuwashawishi wajumbe wa CCM tu ndo awashawishi wasomi na matajiri wa jimbo la Kawe? Huku ana skendo zenye ushahidi za ukabila na uzinzi? Labda ashinde Kawe ya mwanza, Sio Kawe hii ya Dar es Salaam
 
Sio kwa jimbo la Kawe la wasomi na watu wenye uwezo wa kifedha kwa wingi!!

Gwajima ana makandokando mengi sana, hawezi kupita jimbo la Kawe, labda ingekuwa jimbo lingine!!!
Watu wa Kawe ninaowajua mie sio wa kwenda kumchagua mtu anayejirekodi akifanya mapenzi na mwanamke. Hapana!!! Sio Kawe hii!!! Bora wangempitisha yule Mkurugenzi wa Mwananchi, Francis Nanai
Sidhani kama baba askofu gwajima atapita asee,,sidhani..
 
Huyu anajitekenya nankucheka mwenyewe hamjui gwajiboy vizuri.
Unamsema Gwaji boy yupi???

Huyu aliyeanzisha siasa za kikabila za kuhamasisha wasukuma waunde vikundi vya kikabila kumkampenia Magufuli???!!

Huyu anayefanya uzinzi na washarika wake huku akijirekodi???

Labda ashinde Kawe ya Mwanza, sio Kawe hii ya Wasomi na watu wenye fedha wanaojielewa ya Dar es Salaam!!!
 
Yaani mtu umpigie kura mtu anyefanya ngono za x , hii itakuwa record mpya
 
Hapa unajidanganya mwenyewe, Gwajima ndio mgombea hatari kuliko mgombea yeyote wa ccm.

Kama mnataka kushinda kawe pangeni mikakati ya ziada kupambana naye, ccm si wajinga kumkata aliyeshinda kura za maoni na kumchukuwa mshindi wa tatu.

Kwanza hatari ya kwanza Gwajima analimudu jukwaa kuliko mtu yeyote yule Tanzania hii, take my word Chadema iwekeze nguvu ya ziada kulichukuwa jimbo la kawe this time, huu ni ukweli mtupu.

Cha mwisho ufahamu Gwajima ni taasisi si mtu wa kawaida yule.
Lakini pia Gwajima amekuwa "sponsor" wa Mdee kipindi chote. Kifupi yule kapelekwa kubomoa alichoshiriki kujenga.
 
Lakini pia Gwajima amekuwa "sponsor" wa Mdee kipindi chote. Kifupi yule kapelekwa kubomoa alichoshiriki kujenga.
Gwajima hawezi kupita kawe, na hakuna Muislam mwenye akili timamu wakumpigia kura Gwajima, kwahicho Magufuli kakosea kutuletea mwana CCM. Najua Gwajima ananguvu kubwa na Gwajima nitaasis lakini kwa wingi wetu waislam nakuapia Gwajima hatoboi, napia hili jimbo limejaa wapemba&Waha ambao wengi wao hawaipendi CCM.
 
Kuna nafasi ndogo ya Halima Mdee kutetea jimbo lake.

Waumini wengi wa Gwajima walijiandikisha kupiga kura Kawe wakati akiwa Tanganyika Packers.

Gwajima muongeaji mzuri kuliko Halima.

Gwajima ana pesa nyingi ya kufanya kampeni ya nguvu Kawe kuliko Halima.

Halima asikate tamaa ajitahidi kupambana huwezi jua mioyo ya wapiga kura.
 
Gwajima sintomchagua kulingana na udini alionao, nashauri waislam wote tunaoishi kawe tusimchague Gwajima kwa sababu ni mdini sana, atazigeuza madrasa zetu kuwa Sunday school.

Heri ndugu zangu waislam hasa wapemba wengi jirani zangu tusimchague Gwajima, amejidhihirisha kutopenda waislam, na kuwatukana kila mahala, kama muislamu kheri nimchague Mdee kuliko, kukubali kuongozwa na mtu anaekashifu dini yangu.

Natangaza rasmi kuanzia leo kuanza kampeni ya mtu kwa mtu kwandugu zangu waislam kuwaonyesha ubaya wa Gwajima juu ya dini yetu waislam. Hatuchagui kiongozi kulingana na dini yake lakini pia hatuko tayari kuchagua kiongozi atakaetubagua kulingana na dini yetu, waislam wenzangu wakawe nawaasa twendeni na Halima, dini yetu nibora kuliko chochote, namtu anaekashifu dini yetu hatuwezi kuruhusu atuongoze, ndugu zangu wana ccm ambao ni waislam Gwajima hatufai kwa sababu nimdini mno.

Kama Muislam siko tayari kumchagua mtu anaekashifu dini yangu waziwazi na nawaasa ndugu zangu waislam tuwe makini juu ya Gwajima , kheri Halima ingawa nimkristo lkn hayuko tayari kutuongoza kwa kufuata dini, nasijawahi kumsikia popote akikashifu dini yamtu.

Heri nionekane mdini lakini sio kuruhusu Gwajima atuongoze waislam tunaoishi kawe.
Mimi sio muislamu ila nakuunga mkono!
 
Gwajima sintomchagua kulingana na udini alionao, nashauri waislam wote tunaoishi kawe tusimchague Gwajima kwa sababu ni mdini sana, atazigeuza madrasa zetu kuwa Sunday school.

Heri ndugu zangu waislam hasa wapemba wengi jirani zangu tusimchague Gwajima, amejidhihirisha kutopenda waislam, na kuwatukana kila mahala, kama muislamu kheri nimchague Mdee kuliko, kukubali kuongozwa na mtu anaekashifu dini yangu.

Natangaza rasmi kuanzia leo kuanza kampeni ya mtu kwa mtu kwandugu zangu waislam kuwaonyesha ubaya wa Gwajima juu ya dini yetu waislam. Hatuchagui kiongozi kulingana na dini yake lakini pia hatuko tayari kuchagua kiongozi atakaetubagua kulingana na dini yetu, waislam wenzangu wakawe nawaasa twendeni na Halima, dini yetu nibora kuliko chochote, namtu anaekashifu dini yetu hatuwezi kuruhusu atuongoze, ndugu zangu wana ccm ambao ni waislam Gwajima hatufai kwa sababu nimdini mno.

Kama Muislam siko tayari kumchagua mtu anaekashifu dini yangu waziwazi na nawaasa ndugu zangu waislam tuwe makini juu ya Gwajima , kheri Halima ingawa nimkristo lkn hayuko tayari kutuongoza kwa kufuata dini, nasijawahi kumsikia popote akikashifu dini yamtu.

Heri nionekane mdini lakini sio kuruhusu Gwajima atuongoze waislam tunaoishi kawe.
Ni kweli pasi shaka kwamba Gwaji Boy ni mdini Ila hawezi kugeuza Madrasa kuwa Sunday School kwakua yeye ni mbunge tu na hana mamlaka ya kufanya hivyo.

Naiona CCM mpya mbele yangu
 
Salary Slip,

Mkuu, jimbo la Kawe CCM hata tungemsimamisha nani hatuwezi kulipata. Wale watu wanakichukia chama chetu kupindukia sijui kwa nini.
 
Kinachowaponzaga nyie ni ukasuku, kupiga makelele bila mpango haya endeleeni kuimba ila Mdee hatoboi mtaja sema hatujawaambia
 
Back
Top Bottom