jogoo wa maajabu
JF-Expert Member
- Mar 4, 2018
- 773
- 1,589
Lissu ana ushawishi kuliko mtu yoyote hapa Tanzania, ndio maana alimiminiwa risasi za kivita.
Nchi ya utopolo kama Tanzania haitaki vichwa kama vya Tundu Lissu.
Sifa za TL ambazo Gwajima na wanaCCM wengi hawana ni uadilifu na kupenda haki.
Huu ndo ukweli. Siku zote Halima anapata kura za kawe kwasbbu CCM haijawahi kuwa na mgombea madhubuti. 2015 alibebwa na mbeleko ya Lowassa.Halima keshaondoka hapo ingawaje nampenda sana yule dada. Haogopi na anajiamini ila kwa huyu mtu aliyeweka, kazi anayo. Pesa , kuongea na ushawishi.
Mwaka huu hawaibi kura hata mojaSijui. Gwajima atabebwa na tume, polisi, na usalama wa taifa. Hataona ndani kama sanduku la kura halitachezewa.
Ukabila na mipango wapi na wapi, hata angepitushwa Yule mayala, bado ni walewale, hawa Jamaa Sema wako wengi sanaGwajima msukuma,wasukuma kabebwa
Kipimo chako cha Gwajima atashinda Kawe ni kipi????Mimi sina muda wa kupoteza na mtu asiyejuwa lolote kwenye siasa wala asiyejuwa mikakati ni nini.
Kama kuna sehemu ccm wamepatia basi ni jimbo la kawe, mimi napenda Halima Mdee ashinde lakini kwa strategy waliyokwenda nayo ccm, Gwajima ana advantage kubwa ya kushinda siwezi kuandika yote hapa
Mimi naijuwa siasa vizuri sana ccm wanalitaka sana jimbo la Kawe na hakika Gwajima anakwenda kuibeba ccm kawe.
Nina uhakika hii ishu ya gwajima italeta mpasuko ndani ya ccm na wanaccm wenyewe watageuka na kumpigia kura mdee..Gwajima is divisive, ni mdini.
..vilevile alishindwa ktk kura za maoni.
..hayo mambo mawili yanawapa ukakasi wapiga kura.
Nikupe tu taarifa, mimi nimekuwa muumini wa kanisa la Gwajima since 2012 baadae nikatoka Dar.najua mda huu unaugali au wali tumboni hivyo unanguvu sana ktk nyanja zozote hata kiubishi hivyo sikuwezi mkuu
Jidanganye kama CCM mpo wengi ata likiwekwa jiwe CCM haiwezi shinda jiwe au kimba la asubuhi!Huu ndo ukweli. Siku zote Halima anapata kura za kawe kwasbbu CCM haijawahi kuwa na mgombea madhubuti. 2015 alibebwa na mbeleko ya Lowassa.
Ana kazi kubwa sana kwani alimtukana Pengo, waislamu so sijui kama atapata kura za kutosha kushindaBaada ya CCM kumpitisha Gwajima , nina uhakika Mdee atashinda uchaguzi katika Jimbo hilo tena kwa kura nyingi zaidi safari hii kuliko ilivyokuwa mwaka 2015 unless haki isitendeke.
Ukiacha watu kuichoka CCM, Gwajima bado ataponzwa na kauli zake ambazo pia zinapatikana mitandaoni, na uzuri hapa Dar wenye smartphone ni wengi, hivyo itakuwa rahisi watu ku-share clips zake na kufanya aliyoyasema, hasa yale yenye element za udini, kuwafikia watu wengi zaidi.
Sababu nyingine itayochangia ashindwe ni kutokuwa chaguo la wana-CCM bali amekuwa chaguo la viongozi wa CCM kwani hakushinda katika kura za maoni, hivyo ni wazi wako baadhi ya wana-CCM ambao hawatampigia kura..
Kingine: Waumini wa Gwajima ni sehemu ndogo sana ya wakazi na wapiga kura wa Jimbo la Kawe, hivyo advantage ya yeye kuwa kiongozi wa dini ni ndogo sana kumbeba bila kusahau ukweli kuwa watanzania hawana sana utamaduni wa kuchagua mtu kwasababu tu ni kiongozi wa kidini.
Kuanzia leo nakuendelee tutarajie kuona clip za Gwajima zikiibuka upya na kwa kasi mitandaoni.
Halima huko aliko bila shaka atakuwa anachekelea kupata mpinzani ambae teyari ameshajiharibia kwa kauli zake mwenyewe.
Muda utaongea.
Tukutane OctoberJidanganye kama CCM mpo wengi ata likiwekwa jiwe CCM haiwezi shinda jiwe au kimba la asubuhi!
Kawe ingekuwa Chamwino hoja yako ingekuwa na nguvu , lakini Kawe hii ya wasomi na wanajeshi wastaafu waliokuwa wa ngazi ya juu haiwezekani Gwajima kuchaguliwaKwa gwajima mdee akaze
Huyu anajitekenya nankucheka mwenyewe hamjui gwajiboy vizuri.Unataka kuniambia lile nyomi analojaza kila jumapili hakuna mwenye smartphone pale? Inamaana Hizo clip hawazioni? Hoja mufilisi kabisa hiyo.
Gwajiboy is untouchable.