Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Haya tukutane 28/10/2020 tumchague Gwajima!Wewe jua kuwa nipo Kawe na nilijiandikisha mwaka 2015.
Wajumbe tu hawakumtakaMnajidanganya. Hamjui kinachoendelea, Gwajima anaibeba Kawe kabla misa ya kwanza kuisha! Yaani ile toa ndugu toa ndugu huku mambo yameisha...
Gwajima hana lolote yule, huwa ana hoja za kutumia nguvu sio nguvu ya hoja. Na ana tabia sawa na Magu hapendi kupingwa, i have been in his church for a few years, i know him.Tena napenda ungeanza kuzipost picha zake sasa hivi tena ukianzia na zile alizokuwa anakula kondoo hapo ndipo utakapoona gwajima ni moto mwingine.halima afanye kazi ya ziada sana, usije jidangany kuwa mkiziweka hizo post ndo mtamuharinia gwajiboy.
Wajumbe tu hawakumuelewa KabisaJamani kwenye hili tuache ushabiki wa kisiasa Gwajima ni level nyingine huwezi kumlinganisha na Mdee. Chadema wahesabu maumivu.
Kwa utumbo huu Gwajima ata pata kura ya Mristo gani? Labda za matapeli wenzake..Kwa gwajima mdee akaze
Mdee hana ila nasikia sijui msagaji au anasagwa ndiyo huku Kawe wanavyojua. Hivyo kupata ubunge ni ndoto labda akatambike!Mungu yu mwema,Mdee atashinda kwa kishindo,Gwajima ana makandokando mengi sana
Ukishazoea ulaghai huwezi shindwa chukua kiti cha ubunge......Gwajima haijui siasa, akumbuke huu mpambano aliouingia sio wa kuwaambia wale waumini wake Corona haitafika Tanzania halafu wanamshangilia... ghafla Corona hiyo, anageuka anasema haitanipata mimi, then waumini wake wanamshangilia tena! huku ni tofauti, KAWE haitaki story za kijani, regardless of who you are.
Kawe ni ya Mdee, na Mdee ni mtoto wa Kawe, nothing more. Gwajima rudi madhabahuni ukatubu umepotoka.
Gwajima ataaminiwa na nani, mwanzo aliamua kumtumikia Yesu akamkimbia, je, akipewa ubunge akipata dili jingine lenye pesa zaidi hataukimbia?!
Kawe sio ya majaribio, Mdee atosha.