Uchaguzi 2020 Mpaka sasa Rais Magufuli ameshakiuka kwa kiwango kikubwa sana ahadi yake ya kuwepo uchaguzi wa huru na haki. Najua alichowaza mpaka akaahidi hivyo

Usitusemee, mimi ninafuraha na aman tele

Utaikosaje wakati toka kaingia Magu madarakani uko kwenye kitengo cha kupiga hela? Hata akiendelea kufanya mauji ya wakosoaji wake na kunajisi chaguzi hujali, ili mradi ww uko kwenye pipe la hela.
 

mabeberu wameamua kumyima asilimia 10 zake, daaah huu ni uonevu! uchunguzi tuliofanya ilikua ni 89%, tuliwaambia wakifika 20% washukuru Mungu
 
Uchaguzi unakuwaje huru na haki huku tume ikiengua wagombea kwa kukosea tu kujaza fomu? Kwani tunashindanisha wanaojua kujaza fomu au wanaokubalika kwa wenye nchi?
Wananchi wanamtaka fulani tume inakataa huyo fulani hawafai ajabu sana
 
CCM kama ukiwa na akili zako vizuri huruhusuwi kuzitumia.
Mfano hai ni Bashiru, Polepole, Kabudi na Kihamia + Semistockles
Ukiwa CCM akili zinakombwa uaachiwa za kumsifia meko na za kuvukia barabara tu.
 
Yaani unasema Ukweli Hadi kichwa kinagonga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…